Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

Subiri uone 2020 mambo yatakavyokuwa
Mwaja 2015 ACT Wazalendo iliweka wagombea ubunge na udiwani majimbo yote nchi nzima (kwa fedha kutoka wapi?); mwaka 2020 kinaweza kushindwa kuweka wagombea ubunge na udiwani majimbo yote nchi nzima kama hatajitokeza mfadhili kama yule wa mwaka 2015. Leka tutigite!!
 
Usimkatishe tamaa Zitto, muache apambane ili kupanua demokrasia. Usilazimishe kila mtu akubaliane na kuiunga mkono chadema, nayo ina mapungufu yake.

Anayeihama chadema asiwe adui, bali awe kama chachu ya kuifanya chadema ijikosoe na kujirekebisha.
Akina:-
Mkumbo,
Juliana,
Shibuda,
Abwao,
Binti wa Mashishanga,
Kafulila,
Mwigamba,
Machally,
Mkosamali,
Ole Medeye,
e.t.c
wote hawa ni wajinga?
kwani unaona wana akili hao?
 
Punguza bang, acha kukaa kwa shemeji yako mkuu.
Nimeshapata jibu,

ila labda nikuulize wewe unatakiwa kuwa na bei gani kumilik chumba cha kodi laki nchi nzima mpaka wilayani alafu upige hesabu ya hiyo ruzuku uone Kama itatosha
 
Nimeshapata jibu,

ila labda nikuulize wewe unatakiwa kuwa na bei gani kumilik chumba cha kodi laki nchi nzima mpaka wilayani alafu upige hesabu ya hiyo ruzuku uone Kama itatosha
Sijaelewa ulichoandika, "kumilik chumba cha kodi laki nchi nzima" ndiyo nini?
 
Usimkatishe tamaa Zitto, muache apambane ili kupanua demokrasia. Usilazimishe kila mtu akubaliane na kuiunga mkono chadema, nayo ina mapungufu yake.

Anayeihama chadema asiwe adui, bali awe kama chachu ya kuifanya chadema ijikosoe na kujirekebisha.
Akina:-
Mkumbo,
Juliana,
Shibuda,
Abwao,
Binti wa Mashishanga,
Kafulila,
Mwigamba,
Machally,
Mkosamali,
Ole Medeye,
e.t.c
wote hawa ni wajinga?
We unaonaje?
 
Back
Top Bottom