Recent content by mapanga3

  1. mapanga3

    Je, ni kwanini waajiri wengi hapa kwetu mishahara yao haiendani na uhalisia wa gharama za maisha, na Je, ni halali kubakia hivi miaka yote?

    Wewe unawaza kula tu au maisha ni kula tu? Vipi kusomesha, kujenga, nishati (umeme gesi )? Au huko ileje vyote hivi mnapewa bure? Jitahidi kufikilia nje ya box.
  2. mapanga3

    Usajili Simba hausikiki zimebaki tetesi tu

    Kumbuka tuna nafasi moja tu ya kimataifa so ni lazima tuwe makini
  3. mapanga3

    Sio kweli kwamba Ukristo ni dini ya wazungu

    Na ni kweli kbsa ni upumbavu
  4. mapanga3

    Full Time: Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Ligi Kuu Bara (VPL)

    Singida walicheza chini ya kiwango inasemekani mo alipitisha bahasha
  5. mapanga3

    Usafi NHC: OSHA mpo wapi?

    Hapa kazi tu
  6. mapanga3

    DC Hapi, mabanda ya biashara pale shule ya msingi Ununio ni ya nani?

    Mbona hueleweki? Emu jaribu kutulia kisha uandike upya
  7. mapanga3

    Songwe: Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na Polisi

    Kama ni kweli hongera zao maana polisi wa nchi hii wana mengi, nakumbuka ya Zombe.
Back
Top Bottom