DC Hapi, mabanda ya biashara pale shule ya msingi Ununio ni ya nani?

DC Hapi, mabanda ya biashara pale shule ya msingi Ununio ni ya nani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Nimeona mkuu wa mkoa Makonda ameshaleta kokoto, mchanga na matofari tayari kwa ujenzi wa ofisi za walimu. Sasa ningekuomba mkuu wa wilaya utujulishe yale mabanda ya biashara yaliyojazana pale shuleni ni mali ya nani? Ikumbukwe mabanda yale yamejengwa wakati serikali ya mtaa ikiongozwa na UKAWA yaani Mwenyekiti na wajumbe Cuf na diwani wa Chadema. Kabla ya hapo chini ya uongozi wa serikali ya mtaa wa CCM uwanja wa michezo shuleni hapo na ule wa makaburi uliuzwa hali iliyowafanya wananchi kukasirika na hatimaye kuichagua Cuf. Dc Salum Hapi najua unapita humu hivyo nasubiria majibu hapa hapa vinginevyo nitamwomba Lizaboni aniulizie mkoani. Nawasilisha!
 
Mbona hueleweki? Emu jaribu kutulia kisha uandike upya
 
Back
Top Bottom