Habari za weekend!
Nipo hapa napata bia huku nikitafakari sana!
Nina maswali yananiijia kichwani sipati majibu; naombeni wataalamu mnitoe tongo tongo hapa!
1. Hivi kama serikali kuna wakati huwa inafikia kuomba msaada Wa pesa kutoka Kwa matajili, je kwanini isiwe inachapisha Pesa nyingi moja kwa moja za kutosha?
2. Katika kuchapisha Pesa serikali huangalia vigezo gani? Na je kuna gharama yeyote ambayo nchi hulipa ili kuchapisha Pesa?
3. Kitu gani kinatofautisha thamani ya Pesa kutoka taifa moja kwenda jingine? Yaani kitu gani kinaleta tofauti ya thaman ya shilling elfu moja ya Tanzania iwe tofauti na Kenya?
NOTE; mwenzenu zaman nilikuwa nazan B.O.T ni kama stoo ya Pesa, ambapo baada ya kuchapishwakuchapishwa nyingi nilijua huhifadhiwa pale!
Nipo hapa napata bia huku nikitafakari sana!
Nina maswali yananiijia kichwani sipati majibu; naombeni wataalamu mnitoe tongo tongo hapa!
1. Hivi kama serikali kuna wakati huwa inafikia kuomba msaada Wa pesa kutoka Kwa matajili, je kwanini isiwe inachapisha Pesa nyingi moja kwa moja za kutosha?
2. Katika kuchapisha Pesa serikali huangalia vigezo gani? Na je kuna gharama yeyote ambayo nchi hulipa ili kuchapisha Pesa?
3. Kitu gani kinatofautisha thamani ya Pesa kutoka taifa moja kwenda jingine? Yaani kitu gani kinaleta tofauti ya thaman ya shilling elfu moja ya Tanzania iwe tofauti na Kenya?
NOTE; mwenzenu zaman nilikuwa nazan B.O.T ni kama stoo ya Pesa, ambapo baada ya kuchapishwakuchapishwa nyingi nilijua huhifadhiwa pale!