Tupongeze wanapofanikiwa, Hongereeni kwa kazi nzuri..
nimesoma tanzania watalii wameongezeka kwa 12% kenya 16% tafsiri yake kwamba kenya wameongezeka zaid kuliko tz, hivyo tz tangu zamani watalii wanaotembelea tz ni wengi zaid kuliko ke so tuendelee kuchapa kazi.
Tusipangiane, cdm hawataki kupangiwa na ccm na ccm hawataki kupangiwa na cdm kwaio ni burudan! ila kwa maoni yangu cdm walistahili kupeleka wagombea 4 kutoa wigo mpana katika ugombeaji katika chama, Kupanua demokrasia katika chama, kukuza Iman kwa wanachama, Kuonyesha kuwa wanahadhina ya...
Mi kwa kifup naona hizi nafasi ziko sawa na zile nafasi za viti maalum, wananchi wakikupa kura na wabunge wa kutosha ndivyo unavyopata fursa zaidi, je nyinyi act huko mbona hamkulalamika mpewe nafasi mgombee?? naona mnatafta lawama tu kuonekana mnaonewa! je mnaweza kugombea zile nafasi 6 Za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.