Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mimi ni ccm,lakini sikubaliani na bunge kuwapigia wagombea wa Chadema hapana,wenje na masha wanafaa kuwakilisha nchi eala,tuangalie taifa kwanza,tatizo wananchi wa Tanzania hatuna kitu maslahi ya Taifa kwanza,yaani tupo kisiasa zaid ambazo hazina maslahi kwa Taifa,
Kwa hiyo unawalazimisha watu wote wa one jinsi unavyoona wewe?