Gharama za kupiga plasta nyumba

Gharama za kupiga plasta nyumba

Hapo itahitajika mifuko 6 cement kwa ajiri ya kupiga ndani tu ukitaka mpaka nje ongeza ifike 11.pesa ya ufundi ntakufanyia laki nne kwa ndani na ukihitaji mpaka nje ntakufanyia jumla laki saba
unapatikana wapi?
 
Kuna jamaa hpa jukwaani ni kazi yke hiyo,aliweka uzi ambao mpaka leo unaendelea na kashafanya kazi na bbadhi ya watu alokutana nao hapa jukwaani,jina analotumia hapa jf ni pmoses95 search hilo jina alafu mtumie messege atakusaidia na yeye yupo mitaa ya kigamboni kama sikosei.
Asante sana ngoja nimtafute
 
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.

Kutengeneza floor ametaka laki na kuweka timanzi laki sita.

Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Yuko sawa if na kufanya skimming
 
Kupiga plasta ndani na nje pamoja na kuskimu haipungui milioni moja na laki sita kwa nyumba ya vyumba vitatu
 
Mafundi wanawaibia sana watu,kupiga floor ni laki 6? Kupiga plasta hadi milioni vyumba vi3? Poleni mnaoibiwa,kuna mafundi wapo mitaani wazuri na wanapiga kwa bei nzuri,ukienda kichwa kichwa gari kubwa lazima upigwe...mie kuna Fundi alinipigia floor chumba na sebule/chumba mita nne kwa mita nne kwa elfu 40.
Aisee huyu Fundi anapatikana wapi naona bei zake zipo vizuri kama kazi yake ni ya ubora
 
Ninakushangaa unaomba msaada wakati umeshamaliza kazi. Au hiyo mifuko ya cement ni maandalizi?.
 
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.

Kutengeneza floor ametaka laki na kuweka timanzi laki sita.

Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Huyo anatakiwa kupiga plasta ndani na nje tu alafu skimming unatakiwa ukiwa tayari kwenye stage ya kupiga rangi unampa kazi mpiga rangi afanye kazi yote pamoja na kupiga rangi

Samahani lakini ......timanzi ndo nini mkuu?
 
Mafundi wanawaibia sana watu,kupiga floor ni laki 6? Kupiga plasta hadi milioni vyumba vi3? Poleni mnaoibiwa,kuna mafundi wapo mitaani wazuri na wanapiga kwa bei nzuri,ukienda kichwa kichwa gari kubwa lazima upigwe...mie kuna Fundi alinipigia floor chumba na sebule/chumba mita nne kwa mita nne kwa elfu 40.
Ila mafundi kama hao wako wapo wachache na inabidi upate reference toka kwa watu
 
Fundi wangu anataka Milioni 1.7 kufanya plasta ndani na nje pamoja na kupiga skimming.

Kutengeneza floor ametaka laki na kuweka timanzi laki sita.

Je hizi ni bei halisia kwa nyuma ya vyumba vitatu na sebele na jiko na choo cha public?
Kati ya vile vyumba vitatu viwili ni self contained.
Mkimbilie huyo fundi, kwasababu yupo cheap sana
 
Back
Top Bottom