Mwakyembe: Joshua Nassari akamatwa akiwa anataka kuingia bungeni na Chupa ya kilevi akiwa amelewa

Mbona hueleweki?
Tume ilitakiwa kupeleka ripoti bungeni ambayo haijakamilika?
Utapelekaje ripoti kabla haijawa kamili?
Kamati ilitakiwa imhoji Lowasa ili kubalance na kwa nini kamati isome ripoti bungeni ili Lowasa ajitetee bungeni?
Juzi Mwakyembe alisemaje kuhusu ripoti ya Nape?
Mbona hata hamueleweki mesimamia kipi?
Polisi halazimishwa amuhoji nani kabla ya kupeleka kesi mahakamani, mtuhumiwa una haki ya kujitetea mahakamani, polisi kazi yao ni kuchunguza tu. Vivyo hivyo kwa bunge, kamati ya teule ya bunge kazi yake ilikuwa ni kuchunguza tu, Nani wamuhoji au wasimuhoji hiyo ni juu yao, bunge lilikuwa ndio linahukumu, bungeni ndiyo mtuhumiwa lazima apewe nafasi ya kujieleza. Je Lowasa hakupewa nafasi ya kujieleza bungeni ?
Jibu ni NDIO, alipewa nafasi ya kujitetea na badala ya kujitetea aliamua kujiuzuru.
 
Ni walinzi wabunge... au TISS? Yaan TISS ndio kazi zao hiz sikuiz.. ndio maana taasis ya TISS inadharaulika..
 
kumbe Lowassa hakuhojiwa,na bado matokeo ya uchunguzi yakaenda kuwasilishwa bungeni kabla ya kuhojiwa,kwa hiyo walitaka wamdhalilishe kwanza ndo wamhoji.....huyu jamaa yatosha,angekaa kimya,maana anajidhalilishs sana
 
mtanzania1989: Kama ni hivyo kwanini na Bashite naye asijitetee mbele ya safari? Mbona Mwakyembe ameng'ang'ania kwamba Tume ya Nape ilipaswa kupata maoni kutoka upande wa pili wa mtuhumiwa? Tena anasisitiza kwamba mtuhumiwa ni sharti apewe nafasi ya kujieleza. Tumeona juzi akina Makonda na mwenzake Mnyeti wamepewa nafasi na kamati ya bunge kusikilizwa kwa tuhuma za kulikashifu bunge. Ina maana hii nafasi ya mtuhumiwa kusikilizwa ni kwa wachache?
 
Sumu ilimuathiri huyo jamaa hadi akanyonyoka nywele,na wanasemaga akili ni nywele
Na hiyo sumu ina uhusiano mkubwa na Richmond kama ambavyo Kubenea naye alimwagiwa acid yaani tindikali kutokana na kuibua ufisadi wa Richmond.
 
mtanzania1989: Mbona Ndugai alimtwanga mwenzake na fimbo kichwani hadi akazimia na hukukemea? Mbunge Goodluck Mlinga kila siku fyatu bungeni, mbona unamshangilia tu? Au ni ule utafiti kwamba CCM hupendwa na mbumbumbu?
Ukitaka uzi wa Ndugai, ulete utapata comments zetu, ujinga wa Goodluck haulalishi ulevi wa Nasari au Mdee, mtu unaingia bungeni unatukana matusi ya nguoni au unaongea mambo ya ajabu kumbe ni nguvu ya pombe na bange, unataka mimi nitetee uchafu huu kwa sababu gani ?
 
Kuna watu wagumu sana kuelewa ( mapenzi wa vyama umepoteza utashi wa akili).
Mwakyembe hazungumzii Lowasa kuhojiwa na kamati ya uchunguzi. Anachoeleza hapo ni kwamba ripoti ilipoletwa kwa mtoa hukumu yaani bunge ambalo ndilo lilikuwa na haki ya kumhoji na pia yeye kujitetea, Lowasa alijiuzulu kabla bunge kumuita kuhojiwa. Na sio kwamba alijiuzulu kabla kamati/tume haijakamilisha uchunguzi.
(La msingi hapa ni kwanini serikali ya kipindi hicho ilimuacha bila kumshitaki? Hili ndo la kujiuliza lakini hilo lingine lipo wazi hapo, mnashindwa nini kuelewa hapo)
Sasa naanza kumuamini makonda kwa kauli zake dhidi ya bunge.
Ila utawala wa awamu ya 4 nusu uizikemazima Tanzania.
 
mtanzania1989: Kama ni hivyo kwanini na Bashite naye asijitetee mbele ya safari? Mbona Mwakyembe ameng'ang'ania kwamba Tume ya Nape ilipaswa kupata maoni kutoka upande wa pili wa mtuhumiwa? Tena anasisitiza kwamba mtuhumiwa ni sharti apewe nafasi ya kujieleza. Tumeona juzi akina Makonda na mwenzake Mnyeti wamepewa nafasi na kamati ya bunge kusikilizwa kwa tuhuma za kulikashifu bunge. Ina maana hii nafasi ya mtuhumiwa kusikilizwa ni kwa wachache?
Tofauti ya tume ya Nape na ya Mwakyembe, ripoti ya tume ya Nape inaenda juu kwa ajili ya maamuzi, Makonda hata kama makosa yake ni ya wazi hana sehemu ya kujieleza tena tofauti na Lowasa alikuwa ameshtakiwa mbele ya bunge na alikuwa na nafasi ya kujitetea mbele ya bunge badala yake akakimbilia kujiuzuru.
 
Kuna watu wagumu sana kuelewa ( mapenzi wa vyama umepoteza utashi wa akili).
Mwakyembe hazungumzii Lowasa kuhojiwa na kamati ya uchunguzi. Anachoeleza hapo ni kwamba ripoti ilipoletwa kwa mtoa hukumu yaani bunge ambalo ndilo lilikuwa na haki ya kumhoji na pia yeye kujitetea, Lowasa alijiuzulu kabla bunge kumuita kuhojiwa. Na sio kwamba alijiuzulu kabla kamati/tume haijakamilisha uchunguzi.
(La msingi hapa ni kwanini serikali ya kipindi hicho ilimuacha bila kumshitaki? Hili ndo la kujiuliza lakini hilo lingine lipo wazi hapo, mnashindwa nini kuelewa hapo)
Sasa naanza kumuamini makonda kwa kauli zake dhidi ya bunge.
Ila utawala wa awamu ya 4 nusu uizikemazima Tanzania.
Ahsante kaka, kuna watu mapenzi yamewapofusha humu, hata huu ukweli hawataki kuuona na kukubali.
 
mtanzania1989: Unapotosha umma. Polisi katika uchunguzi wao kabla ya kumpeleka mtu mahakamani huwa wanamhoji mtuhumiwa kwanza. Wanachukua taarifa zake muhimu na anachokifahamu kuhusu tuhuma zake.
 
Polisi halazimishwa amuhoji nani kabla ya kupeleka kesi mahakamani, mtuhumiwa una haki ya kujitetea mahakamani, polisi kazi yao ni kuchunguza tu. Vivyo hivyo kwa bunge, kamati ya teule ya bunge kazi yake ilikuwa ni kuchunguza tu, Nani wamuhoji au wasimuhoji hiyo ni juu yao, bunge lilikuwa ndio linahukumu, bungeni ndiyo mtuhumiwa lazima apewe nafasi ya kujieleza. Je Lowasa hakupewa nafasi ya kujieleza bungeni ?
Jibu ni NDIO, alipewa nafasi ya kujitetea na badala ya kujitetea aliamua kujiuzuru.
Nmeshaelewa tatizo lilipo...ni vigumu kuendelea kubishana na wewe.....
 
Leo Bungeni Dodoma,Joshua Nasari(Mb)Arumeru Mashariki amekatwa na Usalama wa Taifa(TISS)akiwa amelewa huku akiwa na mzinga wa konyagi akitaka kuingia nao Bungeni huku akitokwa na mapovu ya kusema kuwa kamati iliyoundwa na Bunge wakati ule wa Rais Kikwete,kumchunguza Waziri Mkuu wa wakati huo Edward Lowassa juu ya tuhuma za Richmond haikutenda haki kabisa.

Akijibu tuhuma hizo kwa kujiamini kabisa,Mh. Harrison Mwakyembe alisema yafuatayo:

"Kwanza niwashukuru vijana wa Usalama wa Taifa(TISS)kutekeleza majukumu yao hasa ya kumshika Mh.Nasari na chupa hiyo ya Konyagi,maana angeweza kutapikia bendera ya Taifa hivyo kulidhalilisha Bunge lote kwa ujumla...

Kuhusu Edward Lowassa na tuhuma hiyo ya Richmond hawezi kusafishika kamwe kwa hali yoyote ile...Tumeshawachoka sana na hatuwezi kuwavumilia tena....

Kamati yangu iliwahoji zaidi ya mashahidi 75,huku kabla ya kuhojiwa kwake na kamati hiyo Edward Lowassa alikimbilia kujiuzuru ghafla...Sasa bhasi kama kuna mtu yeyote hapa Bungeni anayejiamini alete hoja ya kurudisha tuhuma hizo za Richmond kuhusu Edward Lowassa tuanze kuijadili upya.....

Na siku tukianza kuijadili upya tuhuma hizo,ntamwomba Mh. Rais JPM anipumzishe Uwaziri kwanza ili nimshughulikie kisawasawa Edward Lowassa kisheria zaidi maana wakati ule tuliamua kumwachia tu pasipo kushtakiwa.

Huyu Mwakinembe afikiri zile kemikali hazijanyonywa vizuri bado zinamchoma haswa kichwani kwani haya aongeayo nahisi ni kupoteza kumbukumbu ya maamuzi aliyotekeleza kumwangushia Lowasa jumba bovu,, akiri tu kuna mistake zilifanyika aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Tunajua siasa ni mchezo mchafu lakini katika hili wasituvunge hawawezi kuupindua ukweli kuwa uongo hata asimame Yesu.
 
mtu uliyethibitisha kuliibia taifa unasema kirahisi hivyo tuliamua kumwachia tuuuu. Ila aliyeingiza ving'ombe vyake hifadhin anasakwa utafikir kaua!
 
Dam55: Hivi wewe ukituhumiwa kuiba viatu vya mtu na tume akaundwa kuchunguza ukweli wa jambo hilo, hiyo tume haipaswi kukuhoji wewe kabla ya kukupeleka mahakamani? Hizi akili ni za wapi?
 
Kuna watu wagumu sana kuelewa ( mapenzi wa vyama umepoteza utashi wa akili).
Mwakyembe hazungumzii Lowasa kuhojiwa na kamati ya uchunguzi. Anachoeleza hapo ni kwamba ripoti ilipoletwa kwa mtoa hukumu yaani bunge ambalo ndilo lilikuwa na haki ya kumhoji na pia yeye kujitetea, Lowasa alijiuzulu kabla bunge kumuita kuhojiwa. Na sio kwamba alijiuzulu kabla kamati/tume haijakamilisha uchunguzi.
(La msingi hapa ni kwanini serikali ya kipindi hicho ilimuacha bila kumshitaki? Hili ndo la kujiuliza lakini hilo lingine lipo wazi hapo, mnashindwa nini kuelewa hapo)
Sasa naanza kumuamini makonda kwa kauli zake dhidi ya bunge.
Ila utawala wa awamu ya 4 nusu uizikemazima Tanzania.
Dam55, Lowasa hakuhojiwa na tume!! Na si kama unavyotaka kutuaminisha kwamba tume ilimhoji ila hakujitetea bungeni...No way, tume ya Mwakyembe haikumhoji hata kidogo Lowasa.
Mengine yaendelee kama ulivyoandika.
 
Back
Top Bottom