Recent content by manwali

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni baraka kwa introvert kujifahamu kuwa ni introvert na kuamua kuutumia uintrovert wake kwa manufaa!

    V Vitu vingine tuwaachie wazungu, asili yetu ni kujichanganya hao wanaoiga uzungu wanajipa stress bure tu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Picha Bora ya Siasa Nov 2023. Weka Maneno

    Bashite bila camera asingefanya hayo maigizo, wazee wamesanuka na kuona hii ni futuhi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Bado 9 mkuu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hamna bado watu 9 kukamilisha hiyo 70.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    makofia360
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    😂😂 mmeshindikana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inashangaza sana, kwenye huo usaili wa February waliitwa watu 233 kwa nafasi 70, ajabu wakatangaza tena nafasi nyingine 3 naona wameita tena 400+ wakashindanie hizo nafasi tatu, hivi ni kweli wote hao 233 hamna watu wa kujaza hizo nafasi 3? kuwa jobless Tanzania ni mateso sana tunaomba Mungu...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wana Songea, mbona mji wenu haukui? Tatizo ni nini?

    Shukrani sana mkuu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

    Samahi mkuu vip watu wa huko wanakubali kuuza mashamba mfano hekari moja inaweza kuwa shilingi ngapi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wana Songea, mbona mji wenu haukui? Tatizo ni nini?

    Mk Mkuu shukrani kwa taarifa, naomba kuuliza hayo mashamba ya kununua kwa 30k yanakuwa na ukubwa gani? na yanapatikana wilaya ipi na vipi hali ya hewa ikoje inasapoti mazao gani?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tuunganishe nguvu kufikisha ujumbe kwa Rais, hawa Sekretarieti ya Ajira siyo wakuchekea, wasitufanye sisi ni wajinga.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Unazingua kuna forum ya matangazo, nenda kaweke tangazo lako huko
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu hiyo web ina access mpaka kwa Rais? maana kama ni wizara tutakuwa tuna twanga maji kwenye kinu hawa watu ni chain moja muhimu ni kwenda moja kwa moja kwa Rais na kuwasagia kunguni naamini Rais wetu ana nia njema ila kuna kakikundi kawahuni wachache hapa katikati ndiyo kanaleta urasimu wote huu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kabisa mkuu pressure ikiwa kubwa hata hao wasaidizi wa madame president watafikisha tu ujumbe, muhimu tuwe na ushirikiano na hii movement
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna vitu ukifikiria inashangaza kweli imagine nafasi ya kumpata Raisi wa nchi mchakato wake huwa hauzidi hata miezi minne, njoo sasa kwenye hizi ajira zetu jobless mtu anakaa mpaka mwaka mzima hajajua hatima yake ni ipi?
Back
Top Bottom