Recent content by MANUU MANGI

  1. MANUU MANGI

    Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

    Mayai tu ya kuku trei moja ataamua akaange au achemshe.. Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
  2. MANUU MANGI

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Goma la Eneka ni zuri lakini the fact kwamba beat inafanana na Fall ya Davido hapo ndo naona kama kachemka hivi Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
  3. MANUU MANGI

    Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

    Kuna Trafic mmoja alikamata sana jiji la Dar hasa kwenye makutano ya barabara za Mwenge,Bamaga na Sayansi kwa staili yake ya kuongoza magari hasa nyakati za asubuhi na jioni. Wengi walifurahia namna alivokuwa anaonyesha namna gani anapenda kazi yake kwa jinsi alivokuwa anayaita magari kwa...
  4. MANUU MANGI

    Mafundi Iphone 4s Kioo wakowapi

    Iphone 4s kioo kimevunjika inawaka lakini screen ni black mwanga unaonekana. Wapi kuna mafundi wa kunibadilishia.?
  5. MANUU MANGI

    Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

    Mm nnayo toka 2015 haijawah kusumbua
  6. MANUU MANGI

    Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

    Huyu atagonga mkeo na mdogo wake mke wako watajijua wote wamegongwa na jamaa na hawatakuwa na shida wataendelea kugongwa kila mtu na muda wake..
  7. MANUU MANGI

    Jaza Ujazwe

    Ni muda kidogo toka nitumie vyombo vya usafiri wa umma yaan daladala. Niliacha kutumia daladala toka Decemba 2014 baada ya kununua gari la kunifanikishia mishe mjini aina ya Passo. Hii gari imekuwa ikinisaidia mishe nyingi lakini pia nmeweza kukamata watoto wakali tu hapa town kuanzia wa vyuo...
  8. MANUU MANGI

    Siku ya kwanza kuja ghetto kanivulia Chupi

    Safi sana mkuu..ww hit n run hakuna kusimama
  9. MANUU MANGI

    Nahitaji kuwa mchumba

    Dada P usikasirike hao hao wanaokejel ndo wanamfuata PM lkn pia jamii skuhiz imejaa teenagers ndo mana akilizao fupi
  10. MANUU MANGI

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Kioo cha 4s yangu nyanganyanga.Kama unajua mtaalamu nistue
  11. MANUU MANGI

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Umepagawa na Nairob kwasbb unachanganya Arusha na Nairobi.Arusha sio Dar compare Dar to Nairobi: Nairobi uchafu
  12. MANUU MANGI

    Kuna Athari Kuzima Gari Kwenye Foleni

    Kuzima gari ni kuchochea tabia za kimaskini maishan mwako
  13. MANUU MANGI

    Kwa wale tuliowahi kugegeda wanawake zaidi ya wawili siku moja

    Kaka uko vizuri.Endelea hvhv lkn nipe siri ya kupiga hao wote
  14. MANUU MANGI

    Video kwenye mabasi ya abiria ni majanga

    Uwaambie wakwe walale au unawapigisha stor
  15. MANUU MANGI

    Kiba na Diamond wagoma kuimba wimbo wa hamasa kwa Serengeti Boys

    Efrahim Kibonde ameyasema hayo leo wakati wa kipindi cha Jahazi leo hii baada ya mtangazaji mwenzie kumwambia kuwa wanamuziki hao wamegoma kuwatungia nyimbo Serengeti Boys. Je ni sawa kwa bwana kibonde kuwaita wanamuziki hao wendawazimu?
Back
Top Bottom