Recent content by manr kicko

  1. manr kicko

    Mbunge ashauri bidhaa kutoka nje zipigwe marufuku ili kukuza soko la bidhaa za ndani

    labda wamesahau marufuku ya sukari kutoka nje ya nchi ilileta kizaazaa gani? hizi viti maalum ni mtihan kweli
  2. manr kicko

    Kizazaa bungeni baada ya mbunge kumtuhumu naibu waziri Masauni kuwafadhili Mungiki

    wenye akili zao weshaelewa mabashite watasubir
  3. manr kicko

    Serikali ya CCM muangukieni Maalim Seif ili yaishe...

    Ni heri ya hao masultani kuliko mkolon mtanganyika
  4. manr kicko

    Mondi anaogopa nini?

    Chonde chonde j2 icjekua chungu mwaka mzima anamaanisha atakacho kifany ni kutoa ripoti kw bashite na gangstar wake wakavamie kanisa ili wamteke na kumpeleka kuckojulikana
  5. manr kicko

    Mahakama Kuu Kenya kuzuia madaktari wetu kuajiriwa kwao: Watanzania tumejifunza nini?

    lngelitokea na hawa madereva wetu wa mabac na malor wakagoma jee na wao wangeliomba mamlaka za keny kutuma madereva tanzania waajiriwe ili wazibe pengo?
  6. manr kicko

    Kuna mtu hafikiri vizuri na italigharimu taifa

    Duh cjui ndo huyu
  7. manr kicko

    Anapotengua teuzi mnalalamika! Mnataka afanye nini sasa?

    Tumbua muhalifu bashite huyo au ndo kuna kitu nyuma ya pazia
  8. manr kicko

    Deni la umeme Zanzibar: Magufuli, Shein na Muhongo wakutana Ikulu. Wawaondoa hofu Wazanzibar

    Wanatafuta tu pakutokea ila ukweli utabaki pale pale hawawez kuikatia umeme zanzibar narejea tena hawawezi na hiyo 10b ilolipwa ni mtukufu mwenywe ndo aloitoa, zanzibar kw sasa jeuri hiyo hawana.
  9. manr kicko

    DODOMA: Bashe, Malima na Musukuma mbaroni wakidaiwa kupanga kuhujumu vikao vya CCM

    mtukufu hata hapo mwanzo alipitishwa ktk mfuko wa shati ndio mana anataka kujifungia ili mara hii awe hana was wasi
  10. manr kicko

    Lema, katika hili umekosea sana!

    Mahakama inawanyima haki wale watu miaka kadhaa sasa ushahidi haujakamilika halafu hapo unajinasib mahakama inatenda haki sawa inaweza kutenda haki kw baadhi ya watu ila kw viongoz wale hawajaonja hiyo haki ya mahakama ila kuna siku watu watachoka na wachukue sheria mikonon mwao
Back
Top Bottom