Recent content by manmoey

  1. manmoey

    David Kafulila: Kwa style ya Rais Magufuli atamaliza miaka 5 na watu aliowatumbua tu

    Mwacha apambane NA WAKATI badala ya MUDA,HATAKUJA JUTIA KILA KITU KINA NAFASI NA NAFSI YAKE,UBABE HAUJAWAHI HATA KUONGEZA SIKU MOJA HAPA CHINI YA JUA,THINKS twice,
  2. manmoey

    Simulizi ya kweli kuhusu Gamboshi

    Lakini umejitahidi kuelezea fikra zako za kiimani na nguvu ya MUNGU,SASA MALIZIA STORYLINE BASI JOMBAAA.....
  3. manmoey

    Simulizi ya kweli kuhusu Gamboshi

    HII na yenye ni kubinya haki za msomaji kwa kutuacha njia Panda bila kujua hatima yetu,
  4. manmoey

    Senegal kuongoza kumpindua dicteta wa Gambia

    ECOWAS EASY AFRICA IJE ITUSAIDIE NA ZNZ BOSS PLEASE
  5. manmoey

    Polisi yatoa tamko juu ya miili saba ya Ruvu na kupotea kwa Ben Saanane

    Wewe mtoa mada, embu jaribu kujivika uhalisia ili JAMBO KAMA BINADAMU WA KAWAIDA,watu wana maumivu yasioeleweka yataishi lini unakuja NA hoja DHAIFU NAMNA HII KWELI??A'RE RECHARGEBLE BRAIN,!!STP.
  6. manmoey

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Sirikali hii aijiui KIPAUMBELE NI KIPI!!!
  7. manmoey

    Sakata la Lema: Lowassa ana Gundu na ni mbinafsi!

    Mada zote mfuu,kila kitu huwa akiwekwe wazi mapambano anayo Fanya LOWASSA KWA LEMA NI TECNIC ZAIDI KULIKO unavyofikiri ww, don't panic time will tell,
  8. manmoey

    Lema hayupo kizuizini kwa kosa la ndoto

    Hapa ni hivi huyo mkuu Wa mirungi mwache aendelee kutumia CHEO CHAKE VIBAYA,TIME WILL TELL VERY STUPIDITY, LEMA IS HERO OF ARUSHA,DON'T GIVE DOG DIAMONDS
  9. manmoey

    Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

    Sasa Mimi nikupe ushauri Wa kiume,tafuta demu mwingine use unadate NA huyo usimwacha,ukiona upendo umeanza kupungua kwa huyo KICHECHE WAKO UNAMPITA CHINI ,The best revenge isn't surrender ,
  10. manmoey

    Friji inauzwa

    Hiyo fridge hata kwa matumizi ya choosing haifai ,kama ni chafu namna hiyo itakosa chawa kweli,ww utakuwa NA hali gani kiafya au VIROBA
  11. manmoey

    Mwanamuziki George Michael (53) amefariki dunia

    Huyu ni YULE SHOGA AU NI MWINGINE?
  12. manmoey

    Mganga Mkuu wa wilaya ya Singida awekwa mahabusu baada ya wananchi kuugua kipindupindu

    Hata akiona usiku atakuambia ni usiku kwa sababu ya CHEO,VERY STUPID LEADER WE ARE HAVE,MAJI HAKUNA NA KAMA YAPO WATU WANATUMIA PAMOJA NA NG'OMBE ,HALAFU UNAKUJA KUMWEKA DAKTARI NDANI KISA WEWE UTAKI KUJUA REAL SITUATION LIPUMBAVU SANA,..
  13. manmoey

    Polisi waua watu wawili wasio na hatia, watoa maelezo

    Wanaongeza ile idadi ya saba ruvu,hakuNA salama nchi hii,kwani wao na FAMILIA ZAO WAKO SALAMA,WAMEGEUKA MIUNGU WATU JUU YA UHAI WA BINADAMU WENZAO,MUNGU atawaona,Tuiii,endeleeni tuuu bhana
  14. manmoey

    Uzee bila hekima na busara ni mzigo kwa watoto

    Weka nyama kidogo,ime= generals mno bro please
Back
Top Bottom