Kama siasa za kitoto inamaana hawezi kumwonya na kumfundisha siasa za kikubwa?Lowasa ajawai mtukana mtu lema anafanya siasa za kitoto ivyo kipenzi cha watu lowasa awezi mtetea mtu anaye tukana viongozi
Mkuu Saanane anaingiaje hapo?Unamaana hata Sanane ameponzwa na siasa za mtandaoni!
acha afunzwe na manyapala jelaKama siasa za kitoto inamaana hawezi kumwonya na kumfundisha siasa za kikubwa?
Wewe hivi unaifahamu HISTORIA ya LEMA kabla ya kuwa mbunge????Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Sasa unatafuta nini huko CHADEMA???maana huyu ndiye MGOMBEA wa chama milele na kila mtu analifahamu hili..inasemekana kaweka BONDI ndani ya CHADEMA ya kuwa MGOMBEA uraisi mpaka atakapoomba POO yeye mwenyewePombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Bado wana ukaribu sana! Jozi 1 umesahau hata kule Kagera EDO alivyokwenda kutoa msaada kwa wahanga wa Tetemeko, Lema ndie aliyekuwa amembebea Notebook/Diary?Lowassa na Lema hawajawahi kuwa maswahiba tangu ule uchaguzi wa Arumeru wa "ni heshima kubwa kwa Mungu kumzomea...".
Hata kampeni za 2015 zilipita kwa shida sana kati ya hawa mabwana mawili.
Tangu hapo sijawahi sikia wakipena maneno yeyote ya furaha...
kwani ufisadi wa lowasa umeishaLema alishawahi kumuomba msamaha Lowassa kwa kusema kumtukana Lowassa kuwa ni mwizi na ufisadi ni thawabu?
Ukisoma mada husika na nilichoandika usingeuliza hilo swalikwani ufisadi wa lowasa umeisha
sawaUkisoma mada husika na nilichoandika usingeuliza hilo swali
Mimi mzee Lowasa simuungi mkono kwa mambo mengi lakini kuna mengine huwa anaonesha dalili za ukomavu na kujitambua "self awareness",mfano ni hili la kumtosa Lema.Haiwezekani Lema yupo gerezani miezi miwili sasa hajaenda hata kumjulia hali hata Mala tatu wakati ni majirani Monduli na Arusha mjini.
Yupo yupo tu kimya Lema anakamatwa kimya,Mwalimu alikamatwa kimya,Lissu akikamatwa kimya.
Na siku akikamatwa yeye kwa ufisadi sisi tutakaa kimya.
Chadema ni Lema na Lema ndio nembo halisi ya Chadema.
Lema ndiye anawakilisha mawazo halisi ya wapinzani wa kweli nchi hii.
Lema hajawai kutuhumiwa kwa wizi na ufisadi kama alivyo Lowassa.
Lema hajawai kunyamaza kuhusu ukandamizaji wa haki maana haujaanza Leo .
Lakini Lowassa eti ameanza kuwatetea wananchi baada ya kuamia Chadema.
mtu hana hata mvuto tena kama walivyo wakin Cheyo na wenzie .
Mtu ambaye kafanikisha kuwaziba midomo wakina Msigwa na Mnyika wanapotea kisiasa.
Hivi Lowassa huyu huyu aliyekataa katiba mpya ya Warioba ambayo matokeo yake tunaendelea kutumia katiba ya 1977 inasababisha Lema aendelee kusota gerezani maana baada ya kupata katiba mpya tungerekebisha sheria zote mbovu.
Alafu kuna watu wanamsapoti eti awe Rais wa nchi serious?...
Pombe simpendi lakini kama ni Lowassa hapana.
Lowassa ni mbinafsi hawezi kuwa rais wa Tanzania tena.
Lowassa hawezi na hatoweza kuleta mabadiliko ya kweli ya kuwatetea watanzania maana alishawasaliti huko nyuma .
Mkuu unatupa shida kusoma huu uandishi wako wa analojiaKwanza nakupongeza wewe mtoa mada, ila tuangalie jinsi kesiyenyewe inavyoendeshwa, pia tutafakali ivi nikweli kunyimwa zamana niaki yakikatiba au laa, pia tutafakali ivi kunanini nyumayapanzia?. Mininazani jeshi lapolisi na maakamayake pia na serikali wanataka kutuaminisha kwamba chochote wanaweza kukifanya ndani yanchi kwaiyo wanchi tujiangalie katika nchi hii, Mimi binafi simlaumu lowassa wala chadema tena minazani hata uyo lema mwenyewe akuna anaemlaumu kwani mchezo wote unaochezwa wanaujua.
Kauli za kisiasa tu hizo hasa pale inapokuwa ktk hali ya vyama vya upinzani.Lema alishawahi kumuomba msamaha Lowassa kwa kusema kumtukana Lowassa kuwa ni mwizi na ufisadi ni thawabu?
Mkuu Saanane anaingiaje hapo?
Genrally siasa za chiki na kupakaziana ni mbaya, za keyboard ni hatari zaidi
vichungu pia huonjwaKweli mmetumwa kuibomoa CHADEMA. technically, you are technically unqualified...
Kwani Lowasaa ndio amemuweka Lema korokoroni?Mshaurini Lema amuombe msamaha Lowassa kwanza