KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,213
- 75,719
Uzee ni cheo cha heshima sana lkn kuna baadhi ya wazee wamejaa upuuzi kichwani mwao hawajui vichwa vyao ni fahari ya watoto wao na wajukuu wao!.
kichwa cha mzee kimepitia mengi,kujua mengi n.k lkn kuna wazee wengine ni ......!!
wazee wa namna hiyo mbadilike mnateketeza watoto na wajukuu wenu kwa tabia zenu mbovu inakera na iwafikie wote wenye tabia kama hizo.
kichwa cha mzee kimepitia mengi,kujua mengi n.k lkn kuna wazee wengine ni ......!!
wazee wa namna hiyo mbadilike mnateketeza watoto na wajukuu wenu kwa tabia zenu mbovu inakera na iwafikie wote wenye tabia kama hizo.