Recent content by Mangungo wa mwibara

  1. M

    Ushauri juu ya Suzuki SX4

    Ndugu naombeni ushauri ambaye ana uzoefu juu ya Suzuki SX4 nataka kuinunua uimara wake, matumizi ya mafuta na upatikanaji wa spare. Asanteni sana
  2. M

    Ushauri juu ya Suzuki SX4

    Ndugu naombeni ushauri ambaye ana uzoefu juu ya Suzuki SX4 nataka kuinunua uimara wake, ulaji mafuta na upatikanaji wa spare. Asanteni sana
  3. M

    Posho ya madaraka kwa Walimu

    Nadhani zilikuwa ni siasa tu, hapa wilaya nilipo hakuna kitu kama hicho.
  4. M

    Wanyarwanda kweli watamu (members only)

    Jamani tupende kununua bidhaa inayozalishwa nyumbani ili tuinue uchumi wa nchi yetu
  5. M

    Werema na Masaju wameifanyia nini ofisi yao?

    napingana na mleta mada kwenye katiba hakuna kifungu chochote kinachosema kuwa ili AG atoe ushauri kwa serikali inabidi ashirikiane na naibu wake, kama umesikia statement ya AG amesema ushauri aliotoa.... hajasema ushauri ofisi yake iliotoa... so sioni sababu ya kumuhusisha Masaju labda km mtoa...
  6. M

    NMB yasitisha kutoa mikopo

    wadau naomba kama kuna mwenye detail atujuze, niliomba mkopo nimeenda kufuatilia nikaambiwa wamepewa taarifa kutoka makao makuu kuwa wasitishe kutoa mikopo.
  7. M

    Rais Kikwete atunuku nishani na tuzo za miaka 50 ya Muungano

    ina maana dk salim alipokuwa waziri mkuu hakuenzi muungano ? yani mpaka igp mangu wa juzi kapewa nishani na dk salim kanyima, au kuna utaratibu maalumu kuhusu hizi nishani ?
  8. M

    Plan B ya CCM kuwalagai wananchi na kuleta mvuto bungeni, wameanza na Oluochi.

    ukawa wamefanya kosa la dakika ya 90 kususia bunge walitakiwa kubaki wapambane mpaka mwisho, ccm wanachofanya sasa ni kutafuta 2/3 bara & zanzibar wakifanikiwa kuipata watatunga katiba waitakayo wao na kitakachofuata ni kuwadhibiti kwa kutumia vyombo vya dola, na ni suala la muda tu ukawa...
  9. M

    Hamad rashid: serikali 3 ni mzigo na ni gharama kwa watz maskini

    Mi naona kwa hali ilivyo ukawa wamechemka sana kususia bunge wangebaki ndani wapambanane mpaka mwisho, kwa pendekezo la hamad rashid kutafuta 2/3 upande wa zanzibar & bara kama likifanikiwa ina maana ccm wataandika katiba waitakayo wao wenyewe na kitakachofuatia ni kuwadhibiti ukawa kwa kutumia...
  10. M

    Kinacho endelea sasa TBC live "KONGAMANO"

    tbc 1 wameona prof kabudi anatoa darasa huru wameamua kusitisha matangazo, baadae watasema matatizo ya kiufundi !
  11. M

    Kinacho endelea sasa TBC live "KONGAMANO"

    Prof kabudi yupo sasa hivi live tbc 1 na amesema kuwa hati za muungano zililidhiwa upande wa tanganyika LAKINI upande wa zanzibar hazikulidhiwa hivyo ndo sababu wakapendekeza mfumo wa serikari 3
  12. M

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    Mh kafulila ameongea vema tena kwa hoja nzito nadhani wajumbe wengi hasa ccm watakuwa wamechanganyikiwa coz km ofisi ya raisi ilipendekeza serikali 3 kwa nini raisi huyohuyo anatoka hadharani anadai serikali 2 ?
  13. M

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    Pasco hasa ww ni nani ? navutiwa sana na uandishi wako unaandika hoja, huna matusi, una mpangilio mzuri wa hoja hakika utakuwa mtu mwenye IQ kubwa sana. haswa ww ni nani ?
  14. M

    Enzi za RFA katika ubora wake

    hapana sio kweli hao ni watangazaji wawili tofauti alex ngusa yupo metro fm ya mwanza, huyo matarange alikuwa clouds fm cku hizi sjui yupo kituo gani au ameacha kutangaza kama akina george vicent sukari na joan itanisa
  15. M

    Enzi za RFA katika ubora wake

    ongeza : shilatu, zuber msabaha, joan itanisa, isaack gamba, peter omary, ahmed kipozi & george vicent sukari
Back
Top Bottom