Enzi za RFA katika ubora wake

Enzi za RFA katika ubora wake

Lazaro Matarange, huyu ndiye Alex Ngusa Matarange. Au mawenge wenge yangu?

Alikuja Radio one, Akawa anatangaza taarifa kwa jina la Alex Ngusa, wakati huohuo anapiga Clouds kwa jina la Alex Matarange.

Siku hizi sijui kapotelea wapi.

aka fisadi papaaaa huyo jamaa si mchezo
 
Soggy Dog akumbukwe kwa lipi?

DJ aliyekuwa anatumia redio KASETI ya LASONIC dabodfka

2nk4kk.jpg
 
hapana sio kweli hao ni watangazaji wawili tofauti alex ngusa yupo metro fm ya mwanza, huyo matarange alikuwa clouds fm cku hizi sjui yupo kituo gani au ameacha kutangaza kama akina george vicent sukari na joan itanisa
 
Lazaro Matarange, huyu ndiye Alex Ngusa Matarange. Au mawenge wenge yangu?

Alikuja Radio one, Akawa anatangaza taarifa kwa jina la Alex Ngusa, wakati huohuo anapiga Clouds kwa jina la Alex Matarange.

Siku hizi sijui kapotelea wapi.

Hapana Kaka hao ni watu wawili tofauti kabisa..., Alex Ngusa sasa hivi yupo Metro FM Mwanza
 
Joan Itanisa alikuwa msoma ahabari mrembo zaidi afrika mashariki na kati.
Ilikuwa akisoma habari Star TV sielewi kitu mpaka anamaliza, nilikuwa nabarikiwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Joan Itanisa alikuwa msoma ahabari mrembo zaidi afrika mashariki na kati.
Ilikuwa akisoma habari Star TV sielewi kitu mpaka anamaliza, nilikuwa nabarikiwa sana.

Sasa ni mhadhiri SAUT university.
 
Last edited by a moderator:
Duh kama hao hawapo redio ipo kwenye hali gani dah nakumbuka enzi zile cople ya Roy Maganga na mkewe Stellas Tumbi pamoja ile ya Fred Fidelis fredwaa na Rahabu Fred,

dah stak kuamini hadi Kid bway hayupo jamani sijui Zuberi Top Model yupo na Juma Ahmed Baragaza nae.
 
Joan Itanisa alikuwa msoma ahabari mrembo zaidi afrika mashariki na kati.
Ilikuwa akisoma habari Star TV sielewi kitu mpaka anamaliza, nilikuwa nabarikiwa sana.

Dah huyu dada nilikuwa nampenda sana nakumbuka wakati nipo sekondari alikuja shuleni kwetu headmaster akatuchagua tuka shoot nae kipindi cha jukwaa la vijana cha startv kipindi hicho yeye ndiye alikuwa anatangaza pamoja na taarifa ya habari. She is so friendly
 
Last edited by a moderator:
Nataka niwagoogle ila naona ntazidi kujichanganya coz wengine siwajui.
 
^^
Enzi za Jeni Mkama, kipindi cha matukio saa 12:45 asubuhi, na wadhamini wa sabuni ya Komoa!!
Enzi zile matukio ni matukio kweli si hotuba za wanasiasa kama hivi leo
^^
 
Hapo labda wawili tu. Jacob Usungu na Fred Fidelis. Wengine wauza sura. Hivi seriously unaweza kumuweka Gabriel Zakaria miongoni mwa watangazaji???
 
DJ aliyekuwa anatumia redio KASETI ya LASONIC dabodfka

2nk4kk.jpg
Duh. LASONIC, umenikumbusha mbali. Hii redio ilikuwa na sauti kubwa sana lakini bila bezi au bass, niliitumia sana nikiwa shuleni. Tulikuwa tunaiazima kwa mwalimu na kuendesha disco dining hall
 
Duh. LASONIC, umenikumbusha mbali. Hii redio ilikuwa na sauti kubwa sana lakini bila bezi au bass, niliitumia sana nikiwa shuleni. Tulikuwa tunaiazima kwa mwalimu na kuendesha disco dining hall

hivi wakati huo china walikuwa wameanza?
 
Back
Top Bottom