Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,169
- 829,112
Sorry kama hii picha ishaletwa hapa
Mungu Fundi wallah...!!!!
Sorry kama hii picha ishaletwa hapa
Mungu Fundi wallah...!!!!
Mtani acha kabisa, hii picha imenitoa mimacho sana,
Wanawake wazur Africa wapo huko mkuu
Dah thats what we call quality my friend
Wanawake wazuri kuliko wote ni wanyiha wa Mbozi.
Mungu Fundi wallah...!!!!
Ha ha ha! Watu mna maneno! Ila acha kumkosoa Muumbaji. Everything He created was good & perfect.!!Hapa ndion inaoneza kuelezeka zaidi ile myth ya tofauti ya muda katika uumbaji. Hawa wameumbwa kati ya Jummanne na Jumatano, ambapo muumbaji alikuwa hana uchovu wa weekend na katuliza akili kwani weekend nyingine ipo mbali kidogo. Ukitaka kujua alioumbwa ijumaa kaka ni maeneo ya mbeya na mwanza huko, muumbaji alikuwa anamalizia udongo, watu wakubwa mno lakini shape ndio mtiti.
Ni ipi katika neema ya Allah unaweza kuikanusha ?
Sorry kama hii picha ishaletwa hapa