Wamekata
Sent from my iPhone using JamiiForums
TBC kama kawaida yao.
Ha ha naona wameona prof Kabudi anamvua nguo mfalme...wamekata. Professor amechambua bila kuyumbisha maneno udhaifu wa katiba iliyopo na ujinga wa wanaong'ang'ania kuikosoa tume..du ukijumlisha na maamuzi ya UKAWA ni cheche za moto
Hawa wasomi wetu wanao kana maandiko yao!!???