Hatua ya kwanza ni kujiandikisha kwenye daftari la wapga kura, hatua ya pili ni kuwandoa mafisadi wote pale mjengoni mwezi wa kumi na tuhakikishe hakuna atakayerudi pale mjengoni, hii inawafanya wawe frustated na wata paralyse na mwisho wa siku tutawazika wote kwa Msongo wa MAWAZO.
jamaa alishastafu huko jeshn ndo maana hakupgiwA mizinga .jamaA kafa akiwa bado mbunge ndo maana askari wa bunge walishughulika kila sehemu mpaka hatua ya mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.