mkuu sikufichi usimtegemee mwalimu japokua utaingia vipindi vyake vyote. achana na madem michezo kama kweli unaisaka division one kwa sisi watu wa Mwenyezi-Mungu huwa tunasali kwanza na kumtanguliza baba tafuta marafiki wakupige pindi na kukusaidia maswali tuition nenda narudia tena soma sana acha maringo hata kama ulitoka na division 1 ya point 7 zero utaipata tuu kichwa kikiwehuka advance ni levo nyingine man usijione mjuaji. mwenzio nimetoka huko sema sikupata ushauri hata nisingeenda uko sababu nlikua napenda course za afya udaktari, famasi na maabara kilichonikuta nakupa siri nimemaliza 2015 ufaulu wa BRN ulikua mkubwa sana sikuweza kupumua vyuo vya serikali nniliishia kuviskia na kuviona mtandaoni tuu hata private kama bugando nako hali ilikua tete pcb wengi walienda education
wengine wakaenda bachelor of veterinary medicine sua wengine course za ajabu ajabu. tuu kama family consumer, forestry, fishing n.k out from. udaktari????
man pambana rafki ushauri huu nakupa kama nipe yako pm nikupigie kwa msaada zaidi pia anza kusoma kwanzia dakika hii kwa uchungumambk. mazuri hayaji hivi hivi.
summary ya vitu vyote hapo juu kama unapenda kwenda ile. sekta yetu pendwa ya afya kwa vyuo vya serikali ni. lazima upate division 1 ya kwanza hadi point 5 hapo ndo unakua na uhakika wa kuzama MUHASI, UDSM, UDOM, KCMC, BUGANDO, halafu sijui IMTU, ARCHIBISHOP JAMES SONGEA, KAIRUKI ST FRANCIS YA MOROGORO kule division 2 pia hata 3 unapata bila tatizo lolote ila omba ukute ufaulu ni mdogo hivyo ushindani ni mdogo pia nakwambia kwa six yetu ya 2015 mambo yalikua magumu sana wengi walienda education na diploma za clinical officer na nursing kabisa.
man kama vipi unaona uwezo wako ni wa kawaida tuu au wastani PLEASE usiende advance ni kupoteza mda tuu. ndugu kama wataka sekta ya afya nenda diploma matokeo yakp naju yanaruhusu ni miaka 3 tuu ukimaliza unaaajiriwa fasta tuu halafu baadae un miaka miwili au mi3 unaenda zako bachelor ila huko diploma pia uwe na GPA kubwa usipumbazike mambo ni magumu ushindani upo. ni hayo rafki yangu sijui mdada au mkaka nimekutambulisha kama man kama kuna tatizo samahani. ni hayo tu man Mungu akutangulie sasa ushajua mchele ni upi na pumba ni zipi we chagua kimoja. kwa maoni zaidi nipe namba yako pm tuongee.
naoma moderator wa hili jukwaa aiweke hii post mwanzonk ili kila atakae fungua huu uzi aione ni mmsaada mkubwa mnk kwa ndugu zetu wanaotaka kwenda advance au diploma.
natanguliza shukrani.