Jamani Bikira nzuri kwanza mtu unajiamini zaidi kwasababu wengi wanatamani kuwa nayo but its too late that is way wanaishia kuponda Mabikra... Pili swala la mapenzi ni kitu cha ziada sana ambacho si lazima kuhusika hivyo side effect zake hazihusu... Nahisi kukesha maana faida ni nyingi sana Ntarudi badae..
Wanawake wengi (sio wote) huwa wanapenda wenzao wawe kama wao. Kama wao ni watulivu halafu mwenzao sio mtulivu watamshawishi atulie. Kama wao ni malaya na mwenzao sio malaya wamtamshawishi naye awe malaya. Kama wao sio mabikra na mwenzao ni bikra watamshawishi atolewe hiyo bikra na mara nyingine huwapa habari wanaume ili wamshawishi wamtoe bikra.Wasalaam wanajf,
Nimeshawasikia wasichana wengi wakiwaponda wenzao ambao wana zaidi ya miaka 25 wakiwa bado bikira. Mfano juzi juzi tu niliwasikia wadada fulani wakimponda ndugu yao mwenye miaka 36 ambaye hajaolewa...walikuwa wakionyesha kumuonea huruma sana eti ni heri angekuwa ashatolewa bikira.
Swali langu ni je kuna limitation ya muda wa kuwa bikira? Kuna athari gani zinazompata mtu ambaye ni bikira hususani mtu mwenye miaka zaidi ya 35?
Mimi nilidhani kuwa ni heri mtu mwenye age hiyo akiwa bikira kuliko kuwa ashapata exposure ya mapenzi na akakosa mwenzi....nilidhani mtu mwenye exposure ya mapenzi atateseka zaidi ya yule ambaye bado bikira.
Wewe unaonaje?
True datIla ziwe zote isiwe ile moja tu tuliyozoea, mabinti wa secondari Siku hizi ni bkr front exit, ila rear exit ni ma.jaaa.nga!!!
35 old halafu bikra! huyo ana misuse hicho kiungo
watu waliotobolewa zamaniii utawajua tu. hadi amesahau bikra hajui ipoje manake walishaibemenda hata kabla akili haijamkaa vizuri. waache waliokuwa wamejitunza wajadili kama hauelewi.mtu mwenye exposure ya mapenzi anatesekaje zaidi ya mwenye bikra? sijaelewa hapo. alafu kwani mtu akifika age hiyo hajaolewa maana yake ni bikra?
Hapo sasaKwani huwa zina EXPIRY date hizi FIRIGISI??
Fact,,A woman who can remain a vergin until that age is a courageous and a Godly woman, nawala watu wasiwakatishe tamaa, there is absolutely nothing wrong with being a virgin kwa hizo age, losing ur virginity should be special banaa..... As we only have it once and then it's gone forever....!!!!!!! Waacheni mpaka watakapopata right person wa kukizi haja zao kwa muda muafaka!!!!!!!!!!!!
Naamini akiwa bikira na kuolewa katika umri mkubwa atakuwa na bahati ya kutokuwa na memory ya kufanya tendo la ndoa na mtu mwingine zaidi ya mumewe.Lakini atakuwa na uhakika wa kutokuwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Lakini pia mumewe atakuwa na imani naye kuliko kama asingelikuwa bikira.Kuwa bikira isichukuliwe kuwa ni ushamba bali ni neema kutoka kwa MunguWasalaam wanajf,
Nimeshawasikia wasichana wengi wakiwaponda wenzao ambao wana zaidi ya miaka 25 wakiwa bado bikira. Mfano juzi juzi tu niliwasikia wadada fulani wakimponda ndugu yao mwenye miaka 36 ambaye hajaolewa...walikuwa wakionyesha kumuonea huruma sana eti ni heri angekuwa ashatolewa bikira.
Swali langu ni je kuna limitation ya muda wa kuwa bikira? Kuna athari gani zinazompata mtu ambaye ni bikira hususani mtu mwenye miaka zaidi ya 35?
Mimi nilidhani kuwa ni heri mtu mwenye age hiyo akiwa bikira kuliko kuwa ashapata exposure ya mapenzi na akakosa mwenzi....nilidhani mtu mwenye exposure ya mapenzi atateseka zaidi ya yule ambaye bado bikira.
Wewe unaonaje?