Kwa research yangu asilimia 75% ya interview na kazi nilizowahi fanya niliapply kwenye system ya organization moja kwa moja.. Asilimia 20% nilipeleka CV phyisically na 5% ni kutumia njia zingine kama Whatsapp nk.
Hii ikimaanisha kwamba sijawahi pata mrejesho wowote postive baada ya kuapply...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.