Recent content by MangiMix

  1. MangiMix

    ASA Microfinance

    Niliwaza hivi hivi.. Maana simuelewi kabisa😁
  2. MangiMix

    ASA Microfinance

    Ukimanishaje mkuu? Kwamba mpka interview tyr?
  3. MangiMix

    Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

    Hivi na hawa wameita interview?
  4. MangiMix

    Changamoto ya Emails kusomwa

    Kwa research yangu asilimia 75% ya interview na kazi nilizowahi fanya niliapply kwenye system ya organization moja kwa moja.. Asilimia 20% nilipeleka CV phyisically na 5% ni kutumia njia zingine kama Whatsapp nk. Hii ikimaanisha kwamba sijawahi pata mrejesho wowote postive baada ya kuapply...
  5. MangiMix

    Kwa wenzetu mliotoka chuo mkajiajiri hapo hapo mlifanyaje? Au mkaajiriwa kwa miaka hii ya ajira ngumu?

    Hizo ni issue zako personal na kijana wa UDOM . Hzihusiani na mada
  6. MangiMix

    Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

    Angalieni email.👣
  7. MangiMix

    Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

    Washaanza tuma email leo
  8. MangiMix

    Barrick Group (64 vacancies)

    Wanasema wanategemea ku lunch TZ very soon.. lakini still nimehisi scammers maana hakuna info zao zozote google
  9. MangiMix

    Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

    Wakuu mbona nimesikia watu 200 wameshaitwa oral kwa email? Kuna aliyepata huu udambwi dambwi au boko hili
  10. MangiMix

    Mene mene tekeli na peresi - Lema

    Kwahiyo Ramaphosa president wa SA ashafika tyari?
  11. MangiMix

    Tangazo la kitapeli la ajira lililotumia nembo za TRA, hivi ndivyo walivyowaibia watu

    Naona hapo anatafuta ugali muhuni huyo. TRA hawawezi tumia gmail 🤠🤠 Ila hili ni la muda sana na TRA walikanusha
  12. MangiMix

    Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

    Wapo kimya. Nafikiri muda bado
  13. MangiMix

    Nahitaji taarifa kuhusu TAESA Internship Program

    Mkuu kumbe ni lazima niende na vyeti vyangu ofisini kwao? Nilijua mtu ankishawatumia kwa email yao kazi imeisha nisubiri interview
Back
Top Bottom