KAYMALI
Member
- Oct 8, 2014
- 86
- 35
Hahaha..nakumbuka NMB walitoaga kazi.ule Uzi ulikua unatembea kweli..Siku majibu yalivyotoka sasa..na Uzi ukaanza kufia hapohapo
Watu wana hasira


Hahaha..nakumbuka NMB walitoaga kazi.ule Uzi ulikua unatembea kweli..Siku majibu yalivyotoka sasa..na Uzi ukaanza kufia hapohapo


una maanisha ya kuwa wengi waliangukia pua? 🤣🤣🤣Hahaha..nakumbuka NMB walitoaga kazi.ule Uzi ulikua unatembea kweli..Siku majibu yalivyotoka sasa..na Uzi ukaanza kufia hapohapo
Anyway, kila la kheri kwa waliofanya interviewuna maanisha ya kuwa wengi waliangukia pua? 🤣🤣🤣
Tupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaaKwenye intaview ya TRA kulikuwa na watu zaidi ya buku2 ila washkaj walitoboa na sasa wapo mamlakani.. Kikubwa ni kumtanguliza MUNGU na kujiandaa. MUNGU ATUSAIDIE
True say aisee, naamin wahusika watajifunza toka kwako kama kweli wanahitaji matokeo chanyaTupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaa
Kabisa mkuu kwenye ukweli yatupasa kusema ukweliTrue say aisee, naamin wahusika watajifunza toka kwako kama kweli wanahitaji matokeo chanya
Hongera sana mkuu.. ila usisahau ulipotoka, washike mkono vijana wenzako kadri ya uwezavyo naye Mungu atakuongezea maradufu..Tupo hapa mkuu mimi pia nilitoboa post ya tax mgt officer nikaingia oral now nipo kazini wito wangu kabla ya kwenda kwenye interview tujiandae kama tunaenda fanya necta coz ni maisha hayo tusifanye mzaa
Hiyo week moja inahesabiwa kuanziaj3 au j5Matokeo si walisema baada ya wiki moja.
Sawa mkuu nimekuelewa nitafanya kama ulivyosema.Hongera sana mkuu.. ila usisahau ulipotoka, washike mkono vijana wenzako kadri ya uwezavyo naye Mungu atakuongezea maradufu..
Hiyo week moja inahesabiwa kuanziaj3 au j5
Wadau vipi TPB hawajaita? Nina mdogo angu alifanya anaskilizia