Nahitaji taarifa kuhusu TAESA Internship Program

TAESA wanafanyaje kazi na kuna utaratibu gani inatumika kwa anayetaka kupata nafasi ya internship?
Kama siyo agent wa serikali( TISS) huwezi pata internship serikalini. Kama uko serious unataka internship kwa ajili ya kufanya kwa vitendo uliyojifunza chuo nenda kwenye private sector lakini ujiandae kwa na nauli chai lunch na usitegemee posho yoyote unapoanza. Wee piga mzigo kinoma. Ukiona wameshakukubali wape notisi ya kuondoka. Wao wenyewe watakuita kwenye meza ya mazungumzo Period. Usisubiri serikali utaozea home.
 
Kama siyo agent wa serikali( TISS) huwezi pata internship serikalini. Kama uko serious unataka internship kwa ajili ya kufanya kwa vitendo uliyojifunza chuo nenda kwenye private sector lakini ujiandae kwa na nauli chai lunch na usitegemee posho yoyote unapoanza. Wee piga mzigo kinoma. Ukiona wameshakukubali wape notisi ya kuondoka. Wao wenyewe watakuita kwenye meza ya mazungumzo Period. Usisubiri serikali utaozea home.
Acha kupotosha, wengi tu tumepita mikononi mwa TAESA na hatuna hata ndugu mmoja serikalini.
Pale ni equal opportunity kwa wote. Fika pale ukiwa na nakala halisi za vyeti vyako vya taaluma utasajiriwa.
Utapangiwa interview, training kisha ikitokea nafasi utaitwa ila saivi watu ni wengi hivyo foleni ni kubwa pia
 
TAESA wanafanyaje kazi na kuna utaratibu gani inatumika kwa anayetaka kupata nafasi ya internship?
Hawa ni agents wa serikali na baadhi ya makampuni binafsi wanotumika kurecruit interns.
Utaenda pale utajisajiri hakikisha umebeba vyeti vyako original.
Baada ya muda utaitwa kwa ajili ya interview kisha baada ya hapo utapatiwa training.
Ikitokea nafasi inayoendana na elimu au skills zako basi utaitwa na kupelekwa ofisi husika ukaanze internship.
Wanalipa posho ya sh 150,000/- tu kwa ajili ya lunch na nauli. Ila ukibahatika ofisi uliyoenda wakawa nao wanakupa chochote basi Mungu mwema.
Wao huwa wanatoa nafasi kwa either miezi sita au mwaka pekee. Baada ya mwaka kuisha wanakua wamemalizana na wewe na endapo ofisi uliyokua ukifanya internship wakakuhitaji basi itawabidi wenyewe ndio wakulipe au waingie makubaliano na wewe.
Hii kitu ndio imepelekea wengi kuajiriwa na taasisi hisika wanakofanya internship hasa kwa wale ambao hawapitii utumishi maana huwa ni kama wanathibitishwa tu hata kama tangazo limetoka na mkaitwa interview na imeongeza kelele za kusema vimemo vinafanya kazi.
Ukumbuke TAESA hawaajiri, kwa hiyo ukipata nafasi usiache kuendelea kutafuta kazi sehemu nyinginezo.
 
Acha kupotosha, wengi tu tumepita mikononi mwa TAESA na hatuna hata ndugu mmoja serikalini.
Pale ni equal opportunity kwa wote. Fika pale ukiwa na nakala halisi za vyeti vyako vya taaluma utasajiriwa.
Utapangiwa interview, training kisha ikitokea nafasi utaitwa ila saivi watu ni wengi hivyo foleni ni kubwa pia
Mkuu kumbe ni lazima niende na vyeti vyangu ofisini kwao? Nilijua mtu ankishawatumia kwa email yao kazi imeisha nisubiri interview
 
Mkuu kumbe ni lazima niende na vyeti vyangu ofisini kwao? Nilijua mtu ankishawatumia kwa email yao kazi imeisha nisubiri interview
Labda utaratibu uwe umebadilika siku hizi. Lakini kipindi hicho sisi ilikua wanafanya usajiri pale pale ofisini kwao.
Nshauri kama upo Dar fanya tu ufike kabisa ofisini kwao
 
Acha kupotosha, wengi tu tumepita mikononi mwa TAESA na hatuna hata ndugu mmoja serikalini.
Pale ni equal opportunity kwa wote. Fika pale ukiwa na nakala halisi za vyeti vyako vya taaluma utasajiriwa.
Utapangiwa interview, training kisha ikitokea nafasi utaitwa ila saivi watu ni wengi hivyo foleni ni kubwa pia
Miez mitatu iliyopita nilifanya registration taesa, up to now sijapata feedback yoyote wao wanadai nafasi ikipatkana watapiga simu, asa kupata hyo chance ya kupigiwa wakat wahtaj ni wengi ndo msala😆😆
 
Kama siyo agent wa serikali( TISS) huwezi pata internship serikalini. Kama uko serious unataka internship kwa ajili ya kufanya kwa vitendo uliyojifunza chuo nenda kwenye private sector lakini ujiandae kwa na nauli chai lunch na usitegemee posho yoyote unapoanza. Wee piga mzigo kinoma. Ukiona wameshakukubali wape notisi ya kuondoka. Wao wenyewe watakuita kwenye meza ya mazungumzo Period. Usisubiri serikali utaozea home.
Mnapenda penda sana kutaja TISS.
 
TAESA wanafanyaje kazi na kuna utaratibu gani inatumika kwa anayetaka kupata nafasi ya internship?
Kama umesomea uhasibu, uhandisi wa maji na ujenzi au mamboy maendeleo ya jamii ingia website ya RUWASA kuna nafasi za kujitolea
 
Miez mitatu iliyopita nilifanya registration taesa, up to now sijapata feedback yoyote wao wanadai nafasi ikipatkana watapiga simu, asa kupata hyo chance ya kupigiwa wakat wahtaj ni wengi ndo msala
Unapigiwa Tu kuwa nasubira wengi nnawajua walipigiwa wakapata tena bila interview
 
kiongozi, samahani usajili unafanyia online au physical!?
Kwa upande wangu sikujisajili wala kufanya interview nlikua referred sabab kozi yangu watu kuwapata sio rahisi hivyo walinitafuta wenyewe.
 
Wote wanaofanya interview huwa wanapangiwa kituo vya kazi au unaweza feli interview na utajuaje kama hujafaulu?
 
Back
Top Bottom