lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Tayari sasa washaanza kutuma email na sms za majibu
Wanajua hesabu ni tatizo wengi hawaezi na bahati mbaya hesabu kama hujui hujui tu huwezi jifunza ukubwani huwezi sema uanze kukaza kusoma mana inand hesabu usome uelewe na upige tizi za kutosha za solving ni balaaNtajitahidi mkuu! Ila nao kwani general questions hawawezi kutoa hadi iwe mihesabu tu 95% ??
Em tupia copy yake hapa basiWatu wametoka kwenye pepa wamenuna balaaa😀
Copy ya nini?Em tupia copy yake hapa basi
Hiyo pepaCopy ya nini?
Mambo ya Financial huambatana na hesabuNtajitahidi mkuu! Ila nao kwani general questions hawawezi kutoa hadi iwe mihesabu tu 95% ??
Mkuu, mambo ya benki ni fweza, na fweza bila hesabu ni sawa na ugali bila kitoweo😊Ntajitahidi mkuu! Ila nao kwani general questions hawawezi kutoa hadi iwe mihesabu tu 95% ??🤔
Pole mkuu, jipange zaidi...Wameshatuma email, we regret to inform you....
Dah nimeumia Akii,
Hongera MkuuTukutane TPB BANK Dear candidates kila hatua Dua ,kama umekosa usikate tamaa a mapambano yanaendelea nitazidi kuwapa update
Pamoja na financial services zangu nimekwata je hao wengine inakuaje😀😀Mambo ya Financial huambatana na hesabu
Mmh sina mkuuHiyo pepa
Mdogo wangu naona kaitwa. Sijui wameitwa wangapi lkn nimemshauri aende afanye kama fainali ya kombe la dunia na aamini kuwa nafasi moja ni yake. Utawala wa mama samia huu na baraka zakeDaaah!! Nimekosa Pia. Ila Mungu wetu ni mkubwa, kwa idadi ya watu waliokuepo. Kupita ilikua ni bahati nasibu sanaa.
We umepata? maana wa2 2nais walikua na majina yao wenyew😅😅Tukutane TPB BANK Dear candidates kila hatua Dua ,kama umekosa usikate tamaa a mapambano yanaendelea nitazidi kuwapa update
Usikute hawaziangalii kabisa hizo test mara baada ya candidates kuzifanya.Kwa mara ya pili nafanya Aptitude test zao na mara zote hizo wanaregret kuniinform sijui nakwama wapi aisee
Aisee watakua hawako fair sasa, maana mimi najiona kilaza hapa kwa kufeli pepa kumbe yawezekana siyo bana😀Usikute hawaziangalii kabisa hizo test mara baada ya candidates kuzifanya.