Ukimanishaje mkuu? Kwamba mpka interview tyr?pia peleka tena ombi lako
Una uhakika?watu wako training mkuu... ila usijali huenda ukaitwa..
Tatizo lako husomi kuelewa unasoma kucommentnimekuambia watu walokuwa training.. sasa umeuliza umehibiwa umepewa na ushauri nini cha kufanya wataka jua vingi..basi yote majibu
Hahahah anaandika kwa pupa, anatoa povu tu.Tatizo lako husomi kuelewa unasoma kucomment
Halafu andika taratibu ueleweke, typing errors kibao. Toa maelezo yenye kueleweka na kama huna taarifa rasmi ni bora useme sio kumchanganya mtoa mada.ukiona watu wako kwenye ina maanisha wamesha pita kwa level ya interview mkuu.. ila ndio mana nikasema peleka tena ombi lako weka mle kwa sanduku ofisini kwao makao pale.. .. incase km bado wanachakata jina lako liwemokwa waloomba na kama imepita basi walikute kwa wapya wanao apply
Niliwaza hivi hivi.. Maana simuelewi kabisa😁Tatizo lako husomi kuelewa unasoma kucomment
wote hamjanielewa basi mniombe upya kuelewa.. mimi ni miongoni mwa nilo apply ni niliitwa na training mefanya.. labda niwajibu hivi.. ila watu tulokuwepo hatufuki mia means kuna batch ipo nyuma.. itafuata so meshauri kutupa cv upya mle kwa boksi incase batch ya pili mtu ukakosa.. mkielewa mnijuze
At least hapa umeeleweka, maana ulikuwa unapost as if umesimama kwenye daladala ya kwenda mbagala.wote hamjanielewa basi mniombe upya kuelewa.. mimi ni miongoni mwa nilo apply ni niliitwa na training mefanya.. labda niwajibu hivi.. ila watu tulokuwepo hatufuki mia means kuna batch ipo nyuma.. itafuata so meshauri kutupa cv upya mle kwa boksi incase batch ya pili mtu ukakosa.. mkielewa mnijuze
Hatujamuelewa alaf sioni kama ameomba iyo kazi uyo .....anajikosha anajikooooo anajikooshaWewe Mhindi nini?, nahisi wamekuelewa
Anakatisha tu wenzake tamaa tangazo hata wiki 3 kutoka deadline bado alaf yeye ameshaitwa na kufanya interview (written, oral) na ameshaitwa kazini anafanya training JAAAAMAAANNiliwaza hivi hivi.. Maana simuelewi kabisa
uliza ujibiwe ..tatizo mkuu wajifanya wajua vingi kumbe hujui.. ipo hiv after interview ni training direct baada ya hapo twasubiri kupangiwa.. usikariri kuwa training mpaka uwe umeingia kazini tayari.. wao baada ya interview wanakupa mafunzo yao kabisa( theory and practical) ..( na interview yao ni group boss) si individual .. ila tu kila mtu aweza ulizwa swali lake ..maswali zaidi njoo pmAnakatisha tu wenzake tamaa tangazo hata wiki 3 kutoka deadline bado alaf yeye ameshaitwa na kufanya interview (written, oral) na ameshaitwa kazini anafanya training JAAAAMAAAN
Haya maelezo yananukia 'uongo uongo'uliza ujibiwe ..tatizo mkuu wajifanya wajua vingi kumbe hujui.. ipo hiv after interview ni training direct baada ya hapo twasubiri kupangiwa.. usikariri kuwa training mpaka uwe umeingia kazini tayari.. wao baada ya interview wanakupa mafunzo yao kabisa( theory and practical) ..( na interview yao ni group boss) si individual .. ila tu kila mtu aweza ulizwa swali lake ..maswali zaidi njoo pm