CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,726
Sifikirii kama wanaweza kuita ORAL watu zaidi ya 300. Watakuwa ni wapumbavu sana hao TPBHujanielewa labda, interview ni Oral ila watu ni wengi.
Sifikirii kama wanaweza kuita ORAL watu zaidi ya 300. Watakuwa ni wapumbavu sana hao TPBHujanielewa labda, interview ni Oral ila watu ni wengi.
Bongo imekua ngumu sana, wakuu hata huku asa kwa sisi freshers hamtuachii, washaanza kuita!?Saiv tusubirie za asa
Sifikirii kama wanaweza kuita ORAL watu zaidi ya 300. Watakuwa ni wapumbavu sana hao TPB
Watu eflu 10 mzee sio kama unavyotaja ww. Kwa maelezo ya waliofanya usahili wamedai kuwa usaili ulifanyika kwa siku 3 na kwa wastani kila siku ilichukua watu 800 kwa awamu moja. Hivyo haiwezekani wafike watu 10000 hata iwe vipi. Pia huwezi wafanyisha ORAL watu kwa wiki 2 wakati walikuwa na uwezo wa kuchukua watu wanaoona wanaweza kuwafanyia huo usahili. Uzushi mwingi sana na kuwavunja watu moyo. Weka hapa list ya hao walioitwa kama watafika hata 300. At least kuna mchangiaji hapo juu alitoa reason ya msingi kuwa kila awamu ilitoa watu 26 ambao wataenda kwenye oral na kwa idadi hiyo unayosema ww basi hata huo usahili usingefanyika pale makao makuu yao maana ni padogo mno na ni kero kila siku kuwaona watu wanafika kisa usahili.Basi sidhani kama watakua chini ya 500 watakaoitwa. Kumbuka aptitude wamefanya zaidi ya elf 10. Na oral inafanyika kwa wiki 2, sasa watu 300 ndo mpaka wamalize wiki 2?
ungemchaopa na kofi maana ni mpuuzi huyo HRHizi post kuna wakati wanafanyisha watu interview na hawachukui,au wanatangaza tangazo la kazi,na hawaiti watu,kuna jamaa yangu was a HR Manager huko Yap Merkez,jamaa alisema hizi kazi nazitangaza lakini ni gumashi sio kweli,hatuiti hata mmoja,na kweli hadi leo kimya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi sasa kuna tarehe nne,,
Kuna sisi wa tarehe 13, Nimeona wa tarehe 14, kuna watarehe 20 na tarehe 23.
Tukapambanie kombe,, Liziki mafungu mawili kupata au kukosaa..
Tutakaoanza tutawaletea habari kwa ufupii.
Muwe na sikukuu njemaa
Bado watu ni wengii ambao tunaendelea na kinyang'anyiloo .Na kila siku kuna interval ya dk 15 kwa kila mtu yani mnakua mnapishana, afu kuna jamaa anabisha watu sio wengi
Hahahahahaha Tuendelee kula mtorii,,Na kila siku kuna interval ya dk 15 kwa kila mtu yani mnakua mnapishana, afu kuna jamaa anabisha watu sio wengi
Bado watu ni wengii ambao tunaendelea na kinyang'anyiloo .
Hatakiwi kuvunjika moyoo
Hahahahahaha Tuendelee kula mtorii,,
Nyama zipo chiniii
Wakuu bado sijatumiwa msg kama naendelea au vipi,au wengine tumekatwa?Hahahahahaha Tuendelee kula mtorii,,
Nyama zipo chiniii
Kuna ambao hawajapata ujumbe wowote,naombeni taarifa wakuu nisije nikala nauli tuBado watu ni wengii ambao tunaendelea na kinyang'anyiloo .
Hatakiwi kuvunjika moyoo
Hakuna watu wengi kama unavyosema ww.Na kila siku kuna interval ya dk 15 kwa kila mtu yani mnakua mnapishana, afu kuna jamaa anabisha watu sio wengi
Hakuna watu wengi kama unavyosema ww.
looohAisee maswali ni ya kawaida tu mkuu General questions hadi hesabu za kujumlisha na kutoa zinakuwepogi, ntahudhuria pia kwa mara nyingine! Ila nikikumbuka tulivokua wengi vile duh🤔🤔
Mlikuwa 9800 kwenye interview ya kwanza.Oral mtakuwa around 300.Watu eflu 10 mzee sio kama unavyotaja ww. Kwa maelezo ya waliofanya usahili wamedai kuwa usaili ulifanyika kwa siku 3 na kwa wastani kila siku ilichukua watu 800 kwa awamu moja. Hivyo haiwezekani wafike watu 10000 hata iwe vipi. Pia huwezi wafanyisha ORAL watu kwa wiki 2 wakati walikuwa na uwezo wa kuchukua watu wanaoona wanaweza kuwafanyia huo usahili. Uzushi mwingi sana na kuwavunja watu moyo. Weka hapa list ya hao walioitwa kama watafika hata 300. At least kuna mchangiaji hapo juu alitoa reason ya msingi kuwa kila awamu ilitoa watu 26 ambao wataenda kwenye oral na kwa idadi hiyo unayosema ww basi hata huo usahili usingefanyika pale makao makuu yao maana ni padogo mno na ni kero kila siku kuwaona watu wanafika kisa usahili.
Acha kuwavunja moyo vijana wenzeko. Kanuni kubwa za usahili hasa wa oral huwa za uwiano wa eiza 1 kwa 4 au 1 kwa 5 na mara chache sana ukute 1 kwa 10 au zaidi ya hapo.
Mlikuwa 9800 kwenye interview ya kwanza.Oral mtakuwa around 300.
Hivi na hawa wameita interview?Fursa nyingine kama TPB taasisi ya ASA Microfinance imetangaza nafasi 100 za Loan Officers No Experience Is Required, Deadline 10/04/2021... Kazi Kwenu