Recent content by Maneka Sotema

  1. M

    Msaada kwa aliyegradute PGDE Openi University of Tanzania

    Nakuonea huruma kwani PGDE haina dili tena. Mkoa wa Iringa Manispaa na Halmashauri ya Kilolo wamekataa kuwaajiri waliomaliza PGDE ktk ajira mpya mwaka huu 2014. Kama huamini chagua kupangwa Iringa uone kama utaupata huo ualimu.
  2. M

    Ajira za ualimu mwaka 2013/2014

    Umeahirisha mpango wako wa kuingia masuala ya siasa?
  3. M

    Najikuta naanza KUIKUBALI CHADEMA..!

    Kweli wewe ni mbumbumbu wa siasa nani alikwambia migogoro ni uimara wa chama?
  4. M

    Ni bora CHADEMA ife kuliko kuvuliwa uanachama

    Uko sahii kaka, chama cha ukabila hakina manufaa kwa Taifa, kwani ni sawa na vile vyama vya makaburu wa South Afrika.
  5. M

    Mchawi wa CHADEMA huyu hapa

    Wewe ni mmoja wa wajinga wanao liwa na wahafithina walio tawaliwa na Udini na Ukabila pamoja na Ukanda!
  6. M

    Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

    Unamaanisha nini unaposema "wanakigoma"? wewe pia unaitikadi za Ukanda na Ukabila? Epuka sana general statements, siyo wanakigoma wote ni wanasiasa kama unavyo dhani!!!
  7. M

    Natamani kuacha Ualimu nijikite kwenye siasa

    Kama roho yako inashauku ya kusaidia walala hoi ingia siasa, hata ukishindwa utapata utulivu wa nafsi.
  8. M

    *Anataka mambo ya pwani*

    Siyo kwamba umesha ingia kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa? maana huwa ni watalamu wa kutega rungu liingie bila wewe kujua!!!
  9. M

    Kwa hili, Dr. Slaa wewe ni 'Mdini' pia!

    Mimi nadhani kuna baadhi yetu(Jamii forum) tunania ya uchochezi na uwongo! Hivi kweli kusema Dr. Slaa alipita kuomba kura makanisani na maaskofu kumpigia kampeni ni UKWELI? Kama ni kweli wanajamii tungependa ushahidi wa kina ili tuamini hayo madai. Nyaraka zina kurasa. Ni kuras gani na waraka...
  10. M

    Yupo kwenye wakati mgumu sana namuonea huruma ila ndo hivyo sina jinsi

    Wanawake siku zote siyo wa kuamini. Mwanaume wa kweli ni yule anaye chukua tahadhali katika kumpenda mwanamke ili asije umizwa. Hata huyo wa pili sina hakika kama unampenda, Jaribu!:crying:
  11. M

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Haya ni matokeo ya serikali kutokaa na walimu kuona jinsi ya kutatua changamoto za elimu TZ!
  12. M

    Matokeo ya Kidato cha Nne 2012 NECTA (CSEE)

    Matokeo ya mwaka huu ni huruma kwa wadogo zetu. Bora shule zenye majina ya wakuu wa nchi yetu huenda wakapata nafasi ya upendeleo ili waende form V
Back
Top Bottom