Mchawi wa CHADEMA huyu hapa

Mchawi wa CHADEMA huyu hapa

Zzk kashinda nn mjinga unaefuata upepo unahongwa elfu tano hzo na huku mwandiga hatumtaki nasikia anaenda kugombea mjini aone kama atapata mnafiki ww na yy

Hahahahaha....!!! matusi ni jadi yako... sasa kama unasikia jibu ni kuwa huna uhakika na unachokisema.... jipange kwanza ukiwa na uhakika utatujulisha.... Na hiyo elfu tano unasikia au ulishawahi kuhongwa........???
 
ZITTO, TISS,CCM na CUF lakini hawawezi kushinda kimbunga chake watakiona wananchi wameshawajua ndio maana unashangaa stamico inachomwa mot ,mahakama kwisha wale wote wanaodumaza demokrasia ya wananchi kwa kutumia mamluki na wazandiki wanatumbukiza nchi kwenye lindi la damu hakuna atakaye kubali CCM iendelee na ghiriba za kusambaratisha vyama

Mbona umezungumzia upande mmoja sema na kuhusu ubabe na kutofata kwa katiba kwa viongozi wa juu wa chadema, na bila kusahau baraza kuu la chadema kuto suluhisha mgogoro huu kabla haujatokea maana umeanza siku nyingi
 
atakuwa mbunge anayewakilisha jimbo la kisutu kwa tiketi ya jaji.

Kumbe mlitaka kumuungiza mkenge kuingia CC ilihali majibu ya hukumu mlikuwa nayo tayari......
 
umeeleza vyema ila chin umevuluga,umesahau kuwa ili tuwe na hayo yote mazr tunahtaji uongoz bora! nao unapatikana kwa haki umakin na uaminifu mr ntuzu!(au umesahau kwenu usukuman?)

Umenena vema ndugu.........
 
Huyo Mbowe siyo fisadi njaa mbaya anaiba wake za watu anapeleka Dubai kwa pesa za serikali anajilipa pesa za ruzuku akiulizwa kesi na kuwafukuza uanachama mwisho wenu umefika

Ni jibu zuri sana....
 
Unakilimbitwa wewe na wenzio wa Lumumba. unafikiri kuwa mbunge na mwanachama kwa hisani ya mahakama na Lumumba kutabadilisha msimamo wa viongozi, wananchama na wapenzi wa CDM?... cowards...

Mie nahisi ili uwe shabiki wa chadema unachukua kwanza degree ya ujinga na matusi. Maana kwa matusi hamjambo. Na ndio maana katibu wenu kule kasulu aliomba wananchi wamuingize ikulu ahalarishe gongo
 
umeeleza vyema ila chin umevuluga,umesahau kuwa ili tuwe na hayo yote mazr tunahtaji uongoz bora! nao unapatikana kwa haki umakin na uaminifu mr ntuzu!(au umesahau kwenu usukuman?)

Sasa nani si muaminifu?

Alafu hapo kwenye usukumani nakutlia Mashaka kwa kile utakachoendelea kusema hapo baadae! Km nimesahau usukumani Kwahiyo nimetekwa na uchaga au?
 
Aya sema weye uongozi Wa Cdm unashida gani? Chanzo cha migogoro ni nini?

Maana mpk umeanzisha Uzi Huenda ukawa na hoja kwa wana JF! Aya niambie!

inawezekana kiingereza ni kigumu kwako...... katafute tafasili ya maneno yote yaliyoandikwa kwa kiingereza alafu uunganishe then utapata maana sahihi..... usipotosheka ingia facebook mtafute mwanasheria wa kesi ya Zitto "Alberto" utaelewa...... ifanye kama home work then njoo na majibu kesho.....
 
Chezea.....!!


Haina lolote hiyo Zaidi misifa tu na ubinafsi na kutumika na kulindwa na ccm!

Kuna kadhia nyingi sn zilizowakumba wapinzani hapa Tz!
Mtikila,
Lipumba,
Wana Cdm

Kwanini Huyu Hajawahi kumbana na kadhia yeyeto? Au yeye si mpinzani!? Na kila matukio yakitokea yeye hayupo! Na ata kesi hana Zaidi ya Hii aliyoifungua yeye!

Kuna nini hapa?
 
Ukweli ulikuwa wazi toka awali kwamba: Mchawi wa CDM ni Uongoze wa CDM. Chama kikifikia katika hatua hii kiongozi wa juu anapaswa kuwajibika. Mimi binafsi nitamheshimu sana Mbowe kama atatambua kuwa ameshindwa (yeye na waliomshauri vibaya) na kuwaachia wengine waongoze (Mwingine yeyote na kamwe isiwe ZZK); Ni wakati wa Mbowe kupumzika ajenge chama kupitia wadhifa mwingine.

Baada ya kuyasema hayo niko tayari kurushiwa madongo kama kawaida wachingiaji walio wengi.

VIVA CDM
 
Then what? atafanyakazi na katibu yupi? M/Kiti yupi?...wajumbe wepi? kwanini msiwe wakweli wa nafsi zenu kuwa amefanikiwa kutetea posho zake za ubunge na uenyekiti wa PAC? Mlarushwa mkubwa kama Zitto kuwa M/Kiti wa kamati ya Bunge i.e watch dog committee inayochunguza mashirika ya umma huoni kuwa kuna walakini?...kweli wajinga ndio waliwao...Mahakama ilikuwa haina namna zaidi ya kuitikia wito wa Rais na Mwenyekiti wa CCM... Ukweli huu utasimama mpaka siku ya mwisho wa dunia kuwa Zitto si Msafi na CCM wako nyuma yake kujaribu kudhoofisha upinzani... After all in saltation Zitto atasubutu kumwangalia Mbowe na Viongozi wake kweli...Kijana aliechukuliwa kibohehe secondary alikokuwa anashindwa hata kwenda likizo kwa kukosa nauli leo anauwezo wa kuingia kwenye propaganda chafu ya kumchafua master wake ? Anazuia harakati za kuokoa Tembo, Madini na Gesi mali halali ya Watanzania? ama kweli kizazi cha nyoka itaendelea kuwa kizazi cha nyoka hadi mwisho wa dunia...

Wewe ni mmoja wa wajinga wanao liwa na wahafithina walio tawaliwa na Udini na Ukabila pamoja na Ukanda!
 
Sasa nani si muaminifu?

Alafu hapo kwenye usukumani nakutlia Mashaka kwa kile utakachoendelea kusema hapo baadae! Km nimesahau usukumani Kwahiyo nimetekwa na uchaga au?

"Rahisi sana...." ukiwa na dereva asiyeifahamu barabara vema ni rahisi kupata ajari kwani anakuwa hajui aendako na hata sehemu zenye matatizo, km. vile kona, korongo na mitelemko mikali anakuwa hazijui........
 
Ukweli ulikuwa wazi toka awali kwamba: Mchawi wa CDM ni Uongoze wa CDM. Chama kikifikia katika hatua hii kiongozi wa juu anapaswa kuwajibika. Mimi binafsi nitamheshimu sana Mbowe kama atatambua kuwa ameshindwa (yeye na waliomshauri vibaya) na kuwaachia wengine waongoze (Mwingine yeyote na kamwe isiwe ZZK); Ni wakati wa Mbowe kupumzika ajenge chama kupitia wadhifa mwingine.

Baada ya kuyasema hayo niko tayari kurushiwa madongo kama kawaida wachingiaji walio wengi.

VIVA CDM

Good point......
 
Haina lolote hiyo Zaidi misifa tu na ubinafsi na kutumika na kulindwa na ccm!

Kuna kadhia nyingi sn zilizowakumba wapinzani hapa Tz!
Mtikila,
Lipumba,
Wana Cdm

Kwanini Huyu Hajawahi kumbana na kadhia yeyeto? Au yeye si mpinzani!? Na kila matukio yakitokea yeye hayupo! Na ata kesi hana Zaidi ya Hii aliyoifungua yeye!

Kuna nini hapa?

Jibu rahisi sana...!!!! Haikuwahi kufunguliwa kesi ya mwanachama wa CDM kuishitaki CDM..... ndo maana udhaifu wa Viongozi ulikuwa haujulikani....
 
inawezekana kiingereza ni kigumu kwako...... katafute tafasili ya maneno yote yaliyoandikwa kwa kiingereza alafu uunganishe then utapata maana sahihi..... usipotosheka ingia facebook mtafute mwanasheria wa kesi ya Zitto "Alberto" utaelewa...... ifanye kama home work then njoo na majibu kesho.....


Siwezi kudumisha lugha ya mkoloni huku nikiua asili Yangu hiyo kazi Fanya wewe!

Huyo Msando ni muhimu kwako tu!

Ukiulizwa swali ujibu Km ulivyo ulizwa. Km hauna majibu kaa kimya!

Chanzo cha migogoro ya vyama vya upinzani ni Ccm na mifumo yake! Ccm ndio kila kitu ktk yote haya yanayotokea!
 
"Rahisi sana...." ukiwa na dereva asiyeifahamu barabara vema ni rahisi kupata ajari kwani anakuwa hajui aendako na hata sehemu zenye matatizo, km. vile kona, korongo na mitelemko mikali anakuwa hazijui........


Hili ndio Jibu Mujarabu kwa Yule alieanzisha oparesheni tokomeza! Maana ni dereva asiejua njia!
 
Jibu rahisi sana...!!!! Haikuwahi kufunguliwa kesi ya mwanachama wa CDM kuishitaki CDM..... ndo maana udhaifu wa Viongozi ulikuwa haujulikani....


Wale madiwani Wa Cdm Arusha waliofukuzwa hawakwenda mahakamani?

Udhaifu unaozidi kuonekana mhimili Wa mahakama kupoteza uaminifu kwa watz kutokana mienendo yake na Wala sio uongozi Wa Cdm!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom