Kwa yeyote yule aliyegraduate PGDE Open university of Tanzania naomba anisaidie jinsi ya kuandika project au guidelines za kuandaa project coz hawa jamaa huwa hawatoi chochote wanasema tubuni title then tuandike tutakavyojua.
Haujajibu swali, mimi sijauliza kama wanaajiri waliosoma PGDE au la!Nakuonea huruma kwani PGDE haina dili tena. Mkoa wa Iringa Manispaa na Halmashauri ya Kilolo wamekataa kuwaajiri waliomaliza PGDE ktk ajira mpya mwaka huu 2014. Kama huamini chagua kupangwa Iringa uone kama utaupata huo ualimu.