Kutoka Mahakamani: Hukumu ya kesi ya Zitto dhidi ya CHADEMA!

Status
Not open for further replies.
Kumbuka huyu aliyempa ushindi Zitto ndio yuleyule aliyemrudishia Lema ubunge. Kwahiyo ni vyema ukalinda heshima yako kuliko kuanza kuzua vioja ntuzu. Sawaeee?.


Kuna vitu vingine naweza kukubalia lkn kwa swala la ZZK na Hii huku siwezi kukubalia!
Kuna kila dalili za kuwepo sapoti ya kila aina nyuma ya ZZK! Tusidanganyane kabisa! Huyu jamaa kakubali kutumika na amekubali kuua vya vya upinzani! Maana ata Leo kulikua na Uzi ha JF ukimtuhumu Huyu jamaa kua nyuma David Kafulila kumtoa mbatia!
 
Unamaanisha nini unaposema "wanakigoma"? wewe pia unaitikadi za Ukanda na Ukabila? Epuka sana general statements, siyo wanakigoma wote ni wanasiasa kama unavyo dhani!!!
 
you are too low.....aliyejadiliwa binafsi nani? dada usilete story za vijiwe vya mbege jf

Huku JF huwa tunajibu hoja kwa hoja na si ku-attack personality za watuu.. Hujajibu hoja zangu umekimbilia kuniita dada... dah nakuonea hurumaaa... Umejitahidii na karibu sanaaa JF kisima cha fikra huruuu na pevuu....
 
Thank you,,

CC freeman Mbowe

CC Dr.W.Slaa also known as MZEE WA KUTOA RUKSA YA KUPIKA GONGO..!!

Answers Please...

Kila mtu lijali ana private and public life stori za totoz hata mapresidar wetu ukizisikia huko mtaani ni zinakatisha tamaa tujadili hoja zilizoko mezani ukimjadili mtu na maisha yake tutakwenda mbali ZZK amenukuliwa akisema 'si sahii kuchunguza siri za mtu kisheria' sasa ZZK kwa umri alionao (ujana maji ya moto) na hana mwenza bado yupo yupo ... yakiletwa yake si ndio balaa. CDM nao wampe chama bachelor, si bora wenzake waliooa. ukweli ni kwamba hakuna aliyemkamilifu stori ya ZZK na chifupa, wema na wengine sote tumezisikia, tusimfanye malaika.
 
huo upuuzi kawaeleze paleeeee ufipa ingekuwa ni chadomo imeshinda usingeandika huo uharo hapo juu.

hahahahaha kuna wengi sanaaa msiopenda kuzishughulisha ubongo zenu kujibu hojaa... Pole kaka unajua huu msimu wa maembe lazima uwe na tatizo kama hiliii
 
Sijui wewe ni Kilaza ama unafanya kusudi? Au ndio mahaba niuwe kwa chadema yenu sasa mpaka sasa hujajua sababu ya kufunguliwa kwa kesi?

Swali kwa swali wewe umetoka sayari ya Mars nini? Ungejibu nilichouliza ebo!
 
Chadema kabla haijfa nikikumbuka nacheeka,ilikuwa na mbwembwe nyiiingii..

ONA SASA INAKUFA KIFO DHALILI KABISA,KIFO CHA MENDE,

YANII ZITTO MMOJA TUH ANAWASUMBUA WATU MILLION MIA MOJA NA USHEE,,JE KUONGOZA TAIFA HII SACOSS WATAWEZA??

TAFAKARI,CHUKUA HATUA,CHADEMA NI JANGA LA TAIFA

Kwa sisi tunaokujua hatukusomii kabisaa mkuu, umekata tamaa na harakati za kukiondoa chama pendwa au unaona nafasi ya chama chako (kilichokuangusha na kukutia aibu hata kukitaja) kililichokuwa mahututi kupata nafuuuu (enermy of my enermy is my best friend)...?!!

HONEST SPEAKING SPENDENZWI NA YANAYOTOKEA CHADEMA. ZITOO NI SHIDA NA MTOVU WA NIDHAMU KWANI MAAMUZI YALIYOFANYWA YALIFANYWA NA KAMATI KUUU NA SIO MAAMUZI BINAFSI YA MBOWE NA SLAA.. PILI UONGOZI WA CHADEMA UMESHINDWA KUDHITI HALII HIII MPAKA IMEFIKA HAPO ILIPO NA SI JAMBO LA KUPENDEZA HATA KIDOGO, NA UNABEBA LAWAMA ZOTE. TATU IKIWA KWENYE SIASA WAASI HUJUMUISHWA KWENYE SERIKALI ILI KULETA MARIDHIANO WHY NOT CHADEMA.. ?!!!

LATELY UMEKUWA NA COMMENTS NYINGI ZENYE KUCHOCHEA UKABILA NA KWA KIASI KIKUBWA UNA KAUDINI NDANI YAKEE.... HILI NI JAMBO LISILITUPENDA WENGI HSWA SISI WENYE FAMILIA ZILIOTOKA KATIKA MBARI ZA KABILA MCHANGANYIKO NA TULIOKUZWA KATIKA FAMILIA YENYE MCHANGANYIKO SAWA WA WAKIRISTO NA ISLAM.. NI LAANA KUBAGUANA KWA MISNGIII HIII... SIPENDEZWI NA YANAYOTOKEA.. PERSONALLY NATAMANI SANAA KUWE NA UPINZANI ULIOKOMAA UTAKAOKISAIDIA CHAMAA CHETUU PENDWA KUFANYA KAZI KWA UFANISII NA KUKINYOOSHA PALE KINAPOINGIA SHERE.
KUFA KWA UPINZANI NI MAJANGA NA SI JAMBO LA KUSHANGILIWA NA MPENDA MAENDELEO, USTAWI NA DEMOKRASIA, POPOTE DUNIANII.

UKIMSIKILIZA NAPE KUHUSIANA NA HILI UTAELEWA SI JAMBO LA KUFURAHISHA HATA KIDOGO.... HATA MWENYEWE HUKIRI UPINZANI LEGELEGE HULETA CHAMA TAWALA LEGELEGE..
 
Thank you,,

CC freeman Mbowe

CC Dr.W.Slaa also known as MZEE WA KUTOA RUKSA YA KUPIKA GONGO..!!

Answers Please...

Nimemuuliza kijana wangu wa darasa la awali. Anasema, umeshaachwa na dunia. Walioendelea wameanza kuruhusu uvutaji bangi, wewe bado unajiuliza ka-gongo! Au mpaka upewe msaada wa kuandaa sheria mpya?
 
Taarabu nzuri jamani, naona hata wasiojua kuimba wanafuatisha kiitikio, na waliozidiwa wanafuata midundo...


Mwanangu Yani Hii ngoma Ina mashabiki wengi sn! Wenye kila aina ya chembechembe! Udini, ukabila, kueneza propagada chafu Yani ilimradi tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom