Duh ila kazi ipo kweli kweli, Leo mwanaume goli moja tu chalii jmn[emoji15] [emoji15] [emoji15] heee inabidi tutafute mbinu mbadala yakurejesha nguvu za hawa jamaa zetu haaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwaya kikubwa endlea kukazia kwenye maombi umrejeshe mumeo kwenye mood, utafurahi lkn huyo mbwa anataka kkuharibia tu akishakulala ujue hutokuwa na jipya kwake, afu unamweleza nn Mungu kwa ww kuvunja nyumba yako kwa mikono yako mwenyew kama mwanamke badala yakuijenga? Omba sana huyo ni mumeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.