Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Usijali aisee, tuko pamoja..... Yale maneno ya joti..Ah okey. Sorry nimevamia kumbe.sikuwa najua. Ahsante kwa kunikaribisha
Usijali aisee, tuko pamoja..... Yale maneno ya joti..Ah okey. Sorry nimevamia kumbe.sikuwa najua. Ahsante kwa kunikaribisha
Bora... RRONDO alitahadharisha. Na nikicheki wingu limetandaa.. Haha, waala, kutakuwa hakuna kitu. 🙂
Dereva anakaa pekeake mbele...Maswali mawili tu...
1.Waziri na dereva wake wanaenea humo?
2.Kanatumia siku ngapi kufika Dodoma?
[HASHTAG]#TeamBabyWalker[/HASHTAG]
MmmmmhMkuu hayakupata nini? ID mpya zinashawishi kweli ukiingia unagundua ni mzoefu anakuchora tu.