Ushauri kwa wanawake wenzangu wa JF

Ushauri kwa wanawake wenzangu wa JF

Ndiyo mategemeo ya kila mmoja wetu, mengine huwa ni matokeo tena fault results.
Tangu na tangu ndoa haziwi kwa wote ipo hivyo si kwa bahati mbaya bali mipango ya Muumba hujawai ona ke anatolewa kwenye dangulo anaolewa?
 
Hahaha kumbe yanakuuma unapokuwa sensitive people usikurupukie jamii foram asubuh, mchana na jioni...mambo mengi yanayoelezwa kwenye social media yana negative impact kwenye ubongo wako weather you like it or not..punguza kuingia humu...humu utafundishwa mambo mengi ya uongo ambyo kwenye jamii zetu sio kweli...mifano 1.mwanamke bila hela hawezi kukupenda,2.mwanamke bila matako makubwa havutii.3.mwanaume mwenye dudu kubwa ndo deal.4.mwanaume kibamia hapendwi.5.wanandoa lzm wasalitiane...na mengine mengi mengi ambyo kwenye maisha ya kawaida its bull shit...yanapewa promo humu tu
Hivo bas tunaandaa kundi kubwa sn la vijana yaan wanawake wembamba wasiojiamini,wanaume wenye maumbile madogo wasiojiamini,wanandoa wanaoingia kwenye ndoa wakijua lzm wasalitiwe,waongeza madudu,wanaume wanaodhan ukishaweka pesa ya matumizi bas ndoa inadumu hakuna kusalitiana and so on...take care
 
Si suala la kuongea tu, kimtokacho mtu ndio kilichopo moyoni. So wanavyoongea mengi ni uhalisia wao.
Utapotea usiamini hivyo nyuma ya kibod usishangae wapondao ndo wenye heshima zaidi kwenye uhalisia
 
Nashangaaa hajui kama wengine wameumbiwa kusindikiza tu
Apo ukimuuliza kwenu wote wameolewa atasema ndio kwa vile hamna amjuaye
NA HIVYO NDIVYO ILIVYO HUMU.

YANI MABAYA YASISEMWE NA YAPO

HIVI KWA NINI DAWA ZA KUONGEZA NGUVU NA DUDU ZIMEKUA DILI

tuambiane tu njia za kuambiana itegemee na mhusika mwenyewe madhali hatujuani sawa tu
 
Hahaha kumbe yanakuuma unapokuwa sensitive people usikurupukie jamii foram asubuh, mchana na jioni...mambo mengi yanayoelezwa kwenye social media yana negative impact kwenye ubongo wako weather you like it or not..punguza kuingia humu...humu utafundishwa mambo mengi ya uongo ambyo kwenye jamii zetu sio kweli...mifano 1.mwanamke bila hela hawezi kukupenda,2.mwanamke bila matako makubwa havutii.3.mwanaume mwenye dudu kubwa ndo deal.4.mwanaume kibamia hapendwi.5.wanandoa lzm wasalitiane...na mengine mengi mengi ambyo kwenye maisha ya kawaida its bull shit...yanapewa promo humu tu
Hivo bas tunaandaa kundi kubwa sn la vijana yaan wanawake wembamba wasiojiamini,wanaume wenye maumbile madogo wasiojiamini,wanandoa wanaoingia kwenye ndoa wakijua lzm wasalitiwe,waongeza madudu,wanaume wanaodhan ukishaweka pesa ya matumizi bas ndoa inadumu hakuna kusalitiana and so on...take care
Wengine wapo ili kupata umaalufu tu,kiukweli ukifwatilia kila kinachoandikwa humu alafu ukakiweka akilini utapotea sana tu.
 
Hakuna sababu ya kulumbana na mtu usiyemjua na la zaidi siyo lazima ku comment kila uzi....

Mie huwa nasoma nyuzi nyingii sana nikiona Vipi siweki hata nukta, napita tuu.. Na mtu akiniudhi huwa sina muda wa kushindana nae nakaa kimya.. Atajiona yeye ndo mjinga!!!!
 
Nime gundua kitu ckuizi mtuakisha pewa ukweli unao mgusa aaah povu lazima limtokeee ......napitatyuuu nitarudi baadayeeee
 
Back
Top Bottom