Executivesister
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 514
- 594
Pole sana dada,kumpotezea huyo jamaa wa office ni rahisi sana.Wewe ongeza attention kwa mumeo itakusaidia.Angalia anakunywa bia gani weka kwa fridge siku moja ya week end unamchomea nyama vizurii unatia viungo unampa na ndizi choma au ugali na kachumbari yenye ndimu na pili pili.Akimaliza kula unampa na bia zake mbili unamwambia leo nimeamua tuwe marafiki mume wangu .You are my best friend I love you.Baada ya hapo mjali mumeo kinzia vaa yake ,anachokula na vitu vingine.Mjali kama unavyojali sms ya mchepuko kwenye simu yake(Natania).Na watoto fuatilia mambo yao kwa karibu.Hapo utajikuta umewekeza kwenye familia yako na hisia za huyo jamaa zimepotea zenyewe.Usikubali kuwa tegemezi kihisia itakukost ,tena kwa co worker ndo haifai kabisa.Utajishushia heshima yako ulojenga mda mref.Wewe umshea na sisi hujui huyo jamaa anashea na nani this situation na wanampa mikakati gani ili uanguke.Usisubiri mumeo afanye kila kitu hapo alipofanya kama mwanadam panatosha palipobaki malizia mama ndo maana ya kuoana hiyo.Kuwa problem solver usiwe complainer.Kwa sababu kwa maelezo yako unataka kmlaumu mume kwa kutokukujali wakati anakujali kwa kiasi kikubwa mnoo yaani.
