Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,690
- 4,919
Katika hali ya kawaida yote haya yalitokea kwa sababu mliyajengea mazingira yatokee...Ishu sio dudu km unavodhani,wala pesa ndo maana nikasema mapema nina uwezo msije mkadhani nimevutiwa na hela au natafuta hela.Tatizo nililogundua kwangu ni kukosekana emotional satisfaction kutoka kwa mume wangu km alivosema mchanguaji mmoja.Mume hajali mambo yangu kiivo.Hata usimsimulia stress za kazi hayuko concerned.
Kwa hiki kipindi kifupi jamaa amekuwa very concerned na mambo yangu,ana pay attention na ananielewa ananisikiliza,anajali, ananishauri.Hapo ni kwa mambo ya kawaida tu na work related matters.Sijawahi kushare nae details za ndoa yangu.Hii ni kwa sbb mwanzoni kabla hatujazoeana kiivo nilijinadi kwake kwamba am the happiest wife na under no circumstance sitokaa kumcheat mume wangu.Na sielewi why mtu anacheat.Nadhani pia kuna status flan ambayo ananichukulia coz hajui details za maisha yangu ya ndoa.And I didnt wanna break that.Yeye mambo yake ya mahusiano,familia,kazi etc ananiambia.Ila me sina nguvu ya kumsimulia wala sitaki.Sikutaka aone najustify me na yeye kuwa close kwa kumsema mume vby.Basi iko hivo tu.Na nimejikaza kutokuonyesha udhaifu muda wote akiwepo.
Muhimu jiepushe na mazingira yote hatarishi yaliyopelekea hali hiyo kuwepo, Vinginevyo Nyege hazina adabuu usipochukua hatua utagongwa an trust me uta regret kwa tendo hilo.
Kwa kuwa uliamua kumsamehe Mumeo basi simamia uamuzi wako huo wa msamaha kwake, Ongea naye kwa uwazi mwambie jinsi unavyoumia/kusononeshwa na hali hiyo ya Yeye kutokukupa attention, naamini ata feel guilt then kama ni wakubadilika atabadilika.
loh hatakama mwanaume utakana kama ilivyo desturi yenu na hali hiyo ikawa inajirudia mara Kwa mara, jua ipo Siku ..... Mimi nilikuwa siamini Kama mwanamke aliyeolewa anaweza kuchepuka Ila sasa nimeamini, halafu wanawake wakiamua kufanya Siri mwanaume hutakaa uje ustukie hata Siku moja! Labda hao ambao walio ofisi moja hapo wambea lazima watamtafuta huyo Mume Na kumweleza lakini Kama yuko mbali na Kama mwanamke anajielewa mwanaume kamwe hatakuja ajue!