Hii Mechi ya Real Madrid vs Man U
Imeonyesha tofauti ya Club na KILABU tofauti ya Kocha (ZIDANE)na Msimamizi wa Mazoezi (MOURINHO)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma vizuri barua ya simba kuhusu kuandamana
'Wanataka kuandamana kuanzia msimbazi hadi zilipo ofisi za wizara ya michezo ndio *OFISI ZA WIZARA YA MICHEZO*
*Tunakumbushana ofisi za wizara zipo Dodoma*[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimesoma vizuri barua ya simba kuhusu kuandamana
'Wanataka kuandamana kuanzia msimbazi hadi zilipo ofisi za wizara ya michezo ndio *OFISI ZA WIZARA YA MICHEZO*
*Tunakumbushana ofisi za wizara zipo Dodoma*[emoji23][emoji23][emoji23]
Gwajima: Nitampiga mtu, nitatoa ushahidi wa alipojiunga na Freemasonry (wa video na picha). Anapata wapi ujasiri kuongea juu yangu!?
#JFLeo
[emoji125][emoji125]
Hoja hapa ni hiyo rufaa yenu kwa kagera ndo inayojadiliwa msimu hu inatumika nguvu kubwa kuwafanya simba muwe mabingwa na hiyo hoja yako uchwara ya kuwa simba ikiwa kwenye form na stars inakuwa hivyo haina maana yoyote
KATIKA Misimu minne ya ligi kuu Tanzania bara kuanzia 2012, Young African SC tumetwaa taji mara 3 na Azam FC 1, Msimu huu panapo majaaliwa itakuwa mara yetu ya tatu mfululizo . . Inasikitisha kuona ndugu zetu wamekuwa wakipambana kutafuta ushindi kupitia kamati! Waliwahi mchezesha Ibrahim Ajib...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.