Vodacom nao hawako nyuma.

Galapagosi

JF-Expert Member
Apr 21, 2017
2,848
2,635
ecf8bf4305328ccee05932c8d3b0719b.jpg
 
aiseee ni hatari sana 2naelekea pabaya mno kama usengerema huu autakemewa utaacha athari ya ujinga kwa vizazi vyetu
 

Natupa rasmi line yangu ya Vodacom kuanzia sasa hivi. Yaani kabisa nitie halafu nitiwe? Inaonekana hawa Wabunifu wa haya Makampuni ya Simu siku hizi wanavuta Misuba siyo ya nchi hii. Kwahiyo kwa mfano ukienda Dukani unamwambia Wakala kuwa nitie halafu nitiwe hivi kwa Sisi Watu wa Pwani hapa si kutaka tu kutafutana ubaya humu mitaani?
 
Natupa rasmi line yangu ya Vodacom kuanzia sasa hivi. Yaani kabisa nitie halafu nitiwe? Inaonekana hawa Wabunifu wa haya Makampuni ya Simu siku hizi wanavuta Misuba siyo ya nchi hii. Kwahiyo kwa mfano ukienda Dukani unamwambia Wakala kuwa nitie halafu nitiwe hivi kwa Sisi Watu wa Pwani hapa si kutaka tu kutafutana ubaya humu mitaani?

Daaah nilianza kwa kusikitika kisha nimeishia kucheka looh hahahahahahhaaaa

Mie ntasema, bwana wakala NTIE nami NIKATIE.... heheheheheheheee
Na bwana wakala ataitikia, Vodacom.... TIA UTIWE aahahahahahaaa
 
Daaah nilianza kwa kusikitika kisha nimeishia kucheka looh hahahahahahhaaaa

Mie ntasema, bwana wakala NTIE nami NIKATIE.... heheheheheheheee
Na bwana wakala ataitikia, Vodacom.... TIA UTIWE aahahahahahaaa

Huu msemo Vodacom wametutafutia Makovu na Majeraha ya lazima kwani si kila Mswahili atakuelewa utakapomwambia " Natia nami Nitiwe " na Vodacom. Na kama Mamlaka husika hazitaliangalia hili naona siku si nyingi kuna Kampuni nyingine nayo itakuja na " Panua na....ili Upanuliwe zaidi ".

Mijitu ya kutoka Bara huko ambayo hii misemo ya Kimjini mjini haijazoea halafu ikukute eti unaiambia " Tia Utiwe " nadhani sisi wa Mjini tutachezea mno Vichapo kutoka Kwao kwani hakuna asiyejua kuwa Watu wa Bara huwa hawapendi na hawajazoea Utani.

Tutapigika mno hakyanani kwa ajili ya haka kamsemo ka Tia Utiwe!
 
Huu msemo Vodacom wametutafutia Makovu na Majeraha ya lazima kwani si kila Mswahili atakuelewa utakapomwambia " Natia nami Nitiwe " na Vodacom. Na kama Mamlaka husika hazitaliangalia hili naona siku si nyingi kuna Kampuni nyingine nayo itakuja na " Panua na....ili Upanuliwe zaidi ".

Mijitu ya kutoka Bara huko ambayo hii misemo ya Kimjini mjini haijazoea halafu ikukute eti unaiambia " Tia Utiwe " nadhani sisi wa Mjini tutachezea mno Vichapo kutoka Kwao kwani hakuna asiyejua kuwa Watu wa Bara huwa hawapendi na hawajazoea Utani.

Tutapigika mno hakyanani kwa ajili ya haka kamsemo ka Tia Utiwe!

Hahahahahahaaa itakuwa ni mwendo wa kutiiiaanaa na kuutiiwaa tuu looh hawa Voda hawa wafute huu usemi kabla haujaleta madhara hehehehehehe
 
Hahahahahahaaa itakuwa ni mwendo wa kutiiiaanaa na kuutiiwaa tuu looh hawa Voda hawa wafute huu usemi kabla haujaleta madhara hehehehehehe

Ulete madhara mara ngapi Mkuu? Yaani kabisa nitie ili nikatiwe? Are these Guys serious?
 
Hahah hii mitandao iangalie mkuu kwa hiyo kama uncle magu anatumia voda na yeye itakuwa hvo ..... Nafwaaa
 
Daaah nilianza kwa kusikitika kisha nimeishia kucheka looh hahahahahahhaaaa

Mie ntasema, bwana wakala NTIE nami NIKATIE.... heheheheheheheee
Na bwana wakala ataitikia, Vodacom.... TIA UTIWE aahahahahahaaa
Hahahahaha sitaki habari hiyo.....
 
Back
Top Bottom