Recent content by mananasi

  1. M

    Wassira on ITV (kipindi maalum)

    Hali hii kachanganyikiwa, Je akiwa na akili zake zilizotulia? Basi muombeeni Mungu kwenye sala zenu achanganyikiwe hivi hivi, maana akiwa na akili zake timamu zilizotulia, mtakuwa mmekwisha.
  2. M

    Mbowe ahusishwa na UFISADI wa kuimaliza NSSF

    Ahh basi kwa madeni makubwa hivyo napata picha kamili... Labda anafikiri kwa kuwa Rais wa nchi ataweza kulimaliza deni. Asilaumiwe jamani kwa mihangaiko ya kila namna anayoifanya katika kutafuta upenyo wa kuingia ikulu hali ya kuwa uchaguzi 2015 sio leo wala kesho...
  3. M

    No control over Religious radio stations over hate speeches

    Inaelekea mtanzania wewe unaogopa kufa kweli. Usiogope, hata baada ya kifo kuna maisha, cha kufanya ni kujiandaa tu! usifikiri kujigawa ndiyo waislamu wote wa tanzania wachukue zenj tu? Haya ni masihara. Kwa taarifa yako lazima ipigwe nusu bin nusu, sasa kwa akili zako zisizokuwa za madrassa...
  4. M

    Je, Church za Tanzania nazo zitafuata mkondo ?

    Uislamu hata siku moja hakiwezi kupindisha sheria zake! Sasa hii dini ya wenzetu, inaangalia leo baridi ngoja nivae sweta, kesho joto basi anavua nguo zote. Yaani kujiamulia tu, mradi kukidhi comfort na matamanio ya kibinaadamu bila kujali kuwa ni disrespect kubwa mno kujifanya mjuaji wewe...
  5. M

    Azimio la Morogoro tarehe 13/02/2011 - Boma Road

    Mhh labda mmesahau nyinyi kuhusu kile kinachodaiwa katika matamko yanayoendelea. Ila kwa sisi msiwe na shaka kuwa tumesahau tunachokidai. Msije kubaki mdomo wazi tu, mkasema wale mliowaita wajinga wasiokuwa na elimu .....Nyinyi fanyeni kila namna ya kejeli na hila. Haishangazi kuwa hizi...
  6. M

    GE2010 Wengi hawajui Nguvu ya Maaskofu

    Hasswaaaaaaaaa! Wamepata mshituko. Ushauri wa bure ni kwamba wawe na subira watazoea tu maana mambo ndiyo kwanza yameanza na yapo njia moja.
  7. M

    GE2010 Katu Kikwete Hakushinda 2010 nani anabisha?

    Ndiyo ustaarabu wa kikristo huu? Kutukana wenzio hivyo? Mhhh poleni sana, inaoneshwa umeguswa kweli mpaka unapoteza utu wako, inakuwa hakuna tofauti baina yako wewe na mnyama kwa maneno machafu yanayokutoka.
  8. M

    GE2010 Katu Kikwete Hakushinda 2010 nani anabisha?

    Waganga wa kienyeji ndiyo wanatabiri
  9. M

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Hili la kujitenda inaonesha limewauma kweli. Sasa mnatakaje tuendelee kuwa wote? Sisi tunakuleteeni mahakama ya kadhi, tutajiunga OIC, hijab full nondo kwa maana yake halisi, na elimu akhera sasa ndiyo tutaingurumisha hasa (kila utakaembonyeza anakutemea cheche), yaani mpaka hewa hii...
  10. M

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Na hao maaskofu pamoja na usomi wao mbona wameshindwa hadi leo kuwatofautishia waumini wao baina ya binaadamu na mungu. Mnadanganywa mungu binaadamu, aliyezaliwa na mtu (yaani ana mama sasa sijui mkuu kicheo ni nani huyo mungu au mama yake), akavishwa nepi, akajinyea, akachambwa, akalala...
  11. M

    Ukweli wa yaliyojiri Arusha-Kesho Star TV

    Kweli inaonesha viongozi wa chadema wanapenda amani, hata wafuasi wao pia wanapenda amani, kama inavyodhihirishwa hapa kwa kumuita mwenzio ng'ombe.
  12. M

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Ndiyo maana mmechapwa kule arusha, sasa mnapiga makelele hatulalali. Msiige waislamu, waislamu majabari hawaogopi kufa. Na kama mngeuwawa kama walivyokuwa wanauwawa waislamu katika miaka ya nyuma si ingekuwa balaa. Msirudie tena watoto wazuri eehh, maana mkirudia tena mtachapwa mtoke vibogoyo...
  13. M

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    My friend you are not a MUSLIM. it did not work. Big lie!
  14. M

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Kwanini usikasirike ukaamua kutoka kwenye huo uislamu, maana inaelekea unakuboa kweli kwa jinsi ulivyokaa hovyo hovyo na watu wake walivyokaa hovyo hovyo.:A S 39:
  15. M

    Waislam na Wakristu tugawane Tanzania!

    Hizi takwimu ni za sensa ya mwaka gani?
Back
Top Bottom