abuuzahraa
Member
- Aug 13, 2009
- 24
- 9
- waislamu tunaunga mkono matamko yote yaliotanguliwa
- tunalaani njama za kuwagawa na kuwaziba midomo waislamu kudai haki zao.
- maaskofu waache kuingilia msuala ya waislamu kama wanataka amani.
- tunalaani mauaji ya mwembechai na serekali iunde tume ya uchunguzi.
- tunaunga mkono mchakato wa katiba mpya ili uondoe dhulma iliyopo.
- tunaitaka raisi aunde bunge jingine la katiba kwani bunge lililopo limejaa wakristo waislamu hawatapata haki katika mchakato wa katiba mpya.
- kutokana na mtokeo mabaya kidato cha nne, raisi avunje baraza la mitihani kwani limejaa mfumo kristo unaobeba shule za seminari.
- tunawatahadharisha waislamu na wenye vyombo vya habari kuwa wanaudhalilisha uislamu wakome.
- serekali irudishe sheria inayopiga marufuku uuzaji wa nguruwe maeneo yenye waislamu.
- mali zote za waislamu zilizotaifishwa na serekali zirudishwe
- tunaitaka serekali sensa ya 2011 kuweka kipengele cha dini ili tufamu idadi kamili ya waumini wa dini zote na tuache kukisia.