Naamini wanajua ila kwa sababu haijagusa kwao basi wanakaa kimya ila wakiguswa tu utawawaonanina wasi wasi kama serikali inajua kuwa yapo magazeti kama hayo,i thnk the gov is not interested kwa kuwa wanajua hayana athari kwa jamii,may be coverage ndogo.
Pole sana ndugu yangu Mfalme Suleiman, mwenye busara.
Nchi inaelekea kubaya. Bila kuficha redio Imaan na Alnuur yamebadilika sana pindi hii. Mimi ni msomaji wa Al-nuur tangu 1999. Lakini kutokana na mwelekeo lilikuwa nao siku hizi nimeliacha kabisa. Maana haliongei hata chembe mawaidha ambayo yatamjenga Muislamu au hata jamii kwa ujumla. Ni hatari sana.
Ni gazeti la kiislam linalotumiwa na jk kueneza udini
Hapo ndipo watakapopimwa Ufahamu wao! Hawa watu hawafahamu Bwana! na ili ndilo tatizo! Maaskofu si wapumbavu kiasi hicho wamelelewa katika misingi ya KRISTO ambaye hakuwa muoga kukemea maovu! Wanachofanya maaskofu ni kukemea maovu ambayo hayana mipaka! iwe katika dini ,Siasa na Nyanja nyinginezo! USIFANYE UJINGA UKIWA KATIKA SIASA HARAFU USEME MAASKOFU WAKAE KIMYA! then mambo yanapoharibika uwatafute kusahidia kufanya suruhu! UPUMBAVU WA WAPI HUO??! ningeshangaa kama maaskofu wangesimama Mahekaluni na kuanza kuhubiri ilani za vyama na itikadi za vyama na wakati huo waseme chagua chama hiki! lakini siyo! Wamesema Arusha CCM mmefanya madudu kwa maana mnahatarisha amani ya nchi!, Wanasema Serikali wanaiba na kuongoza wezi kuibia nchi kupitia DOWANS, EPA, IPTL N.K. Hayo yote ni maovu! na wala hawatakaa kimya! kama wakikaa kimya waumini tutawakimbia na kuwaacha pekeyao! na ninaelewa hawawezi kukaa kimya maana wanamwakilisha YESU KRISTO WA KWELI NA MSEMA KWELI!
Tunaelewa kinachowasukuma MASHEIKH ni UDINI! kwa kuwa Rais wa nchi ni MUSLAMU! hawa jamaa wanafanya kosa kubwa kweli kweli! TUTAWAPUUZA TU!
baaana waachen si haki yao ya maoni mbona hamsemi kuhusu MSEMAKWELI, JIBU, UTATU, UTEMI na KIONGOZI mmnayasoma nayo pia yanairritate watu cha msingi ni kwamba magazeti ya dini yafungiwe watu wasome Biblia na Quran tu ukitaka gazeti soma playboy au vp
nadhani wanaelimu ya madrassa only. yanapaswa kufungiwa. ushauri wa bure kwa waislamu..MKIONA TANGANYIKA PANAWAZINGUA, NENDENI ZENJI. KWANI KULE KUNA KINA MAIMUNA ,MWAJUMA,JUMA ,HUSSEIN,MUSTAFA WENGI TU AU MWENDE SUDANI YA KUSINI WAKISHA KABIDHIWA UHURU WA.
NIMESAHAU, ILI KWA KUWA NYIE MWAPENDA SANA MAHAKAMA YA KADHI NA SHARIA NA UMWAGAJI DAMU, NADHANI SOMALIA PATAWAFAA SANA NDUGU ZANGU,
MTAKUWA HURU KUJILIPUA NA MABOMU KAMA KAWAIDA YENU:boom::boom::boom: