Pole sana mkuu unaweza kwenda kuuliza posta ya temeke baadhi ya wezi wakimuibia mtu wakikuta kuna documents za muhimu huzipost ofisi ya posta kuna baadhi ya watu walioibiwa vitu vyao walivipata posta.Pia tujifunze kuandika namba za simu juu ya bahasha inarahisisha hata kama umedondosha mtu...
Unatakiwa utafute nafasi katika shule atakayohamia ukishapata shule unaandika barua ya maombi ya uhamisho,maombi unaandika kwa afisa elimu wa mkoa anaohama mtoto barua hiyo utaisainisha kwanza kwa mkuu wa shule atakayohamia mtoto kuthibitisha kuwa nafasi ipo halafu utaipeleka kwa mkuu wa shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.