Cha muhimu hii serikali ya ccm inatudharau sana na ni kuipiga chini kwa ustawi wa siku zijazo bila hivyo tutapata tabu sana
Viongozi wote wa serikali na WA chama wanafika kila siku kukagua miradi ya maendeleo hususani hii hospital ila hakuna jipya wanalotatua wanapongezana tuu
Hospitali...
Nimsaidie
Vicoba Kuna kupanda hisa,sasa unapewa mkopo kulingana na hisa ulizowekeza maana yake ukishindwa kulipa mkopo unatozwa fine au hisa zako zinakatwa kufidia deni
Hivyo basi waliopo vicoba hata km amekopa akashindwa rudisha hana sababu ya kujiuza maana hisa zake zitamfidia
Hao Kausha...
Sio kila daktari anayekuona anajua bei ya dawa/huduma aliyokupa zilizoko kwenye mfumo wa NHIF
Hospital nyingine tayari wameunganishwa online ukisaini maana yake na gharama zimepigwa papo hapo automatic
Sasa ukija kwenye hizi hospital zetu za Serikali bado changamoto ni kubwa ya watendaji kwa...
Asante kwa ufafanuzi mzuri
Nahisi point ilikua hapo kwenye kusugua fizi anaweza kula chochote kikasababisha kuharisha sema wazazi wa kileo hawakujua hilo wao walilibeba lilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.