JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Kufuatia mauaji ya Nickson Myamba ambaye alikuwa ni Katibu wa Baraza la Walei Kigango cha Makambako, Jimbo la Njombe, Februari 7, 2022 kisha kudaiwa mwili wake kutenganishwa kichwa na kiwiliwili, bado kuna hali ya sintofahamu kuhusu tukio hilo.
Tayari Jeshi la Polisi la Njombe kupitia kwa RPC wa mkoa huo, Khamisi Issa limetoa tamko kuwa upelelezi unaendelea na tayari kuwa watu kadhaa wameshikiliwa.
Kuna ujumbe umesambaa kwenye baadhi ya magroup ya viongozi na waumini wa kanisa hilo (Njombe) juu ya kukimbia kwa Katekista ambaye alikuwepo eneo la tukio siku husika.
Kuna ujumbe huu umetumwa na muumini mmoja mtandaoni akiwasihi wenzake kuwa makini kisha picha ya huyo Katekista anayedaiwa kukimbia ikisambaa pia.
Ujumbe wenyewe ni huu chini na picha ya huyo Katekista ipo hapo imeambatanishwa na stori hii,,,,,,,:::
..................
JUU YA MAUAJI YALIYOTOKEA MISHENI YETU MAKAMBAKO
Tarehe 8 Februari nilikuwa safarini kuelekea Iringa ndipo nilipopitia makambako kuacha mzigi.
Kufika getini hakuna MTU anaruhusiwa kuingia ndani ya Parokia kwa sababu naambiwa yametokea mauaji parokiani, na paroko pamoja na viongozi walikuwa kituo cha polisi Kwa mahojiano...
Nikapewa taarifa za mauaji ya katibu kama mlivyosikia
Hadi sasa mshukiwa mkuu ambaye ni katekista ametoroka na hajapatikana.
Na polisi wanasema hâta hivyo wapo sehemu nzuri YA kumpata.
Watu hapa Makambako wameshtuka na kujawa butwaa na hofu na huzuni kubwa.
Kwa misheni zetu mauaji na ya kikatili Kama haya hatujapata kuna nayo. Huyu Katekista amekuwa ni kiongozi Wa miaka zaidi YA 20... point of reference YA watu wengi.
Mauaji haya YA kinyama si tuyamefanyika...yamefanyia kwenye eneo la kanisa, ofisi/duka la kanisa...mbaya Zaidi yamehusisha watu ambao ni viongozi.
Kwa maelezo YA paroko siku hiyo ilibidi katekista akabidhi mahesabu ili aweze hudumia duka hilo MTU mwingine full time.
Katibu ndo alikuwa anashughulikia huo mchakato Na siku hiyo ndo ilikuwa siku YA makabidhiano.
Jana jioni imefanyika misa nyumbani Kwa marehemu wakiwemo viongozi wote ngazi YA wilaya.
...............
Mwisho wa kunukuu andiko hilo.
Tayari Jeshi la Polisi la Njombe kupitia kwa RPC wa mkoa huo, Khamisi Issa limetoa tamko kuwa upelelezi unaendelea na tayari kuwa watu kadhaa wameshikiliwa.
Kuna ujumbe umesambaa kwenye baadhi ya magroup ya viongozi na waumini wa kanisa hilo (Njombe) juu ya kukimbia kwa Katekista ambaye alikuwepo eneo la tukio siku husika.
Kuna ujumbe huu umetumwa na muumini mmoja mtandaoni akiwasihi wenzake kuwa makini kisha picha ya huyo Katekista anayedaiwa kukimbia ikisambaa pia.
Ujumbe wenyewe ni huu chini na picha ya huyo Katekista ipo hapo imeambatanishwa na stori hii,,,,,,,:::
..................
JUU YA MAUAJI YALIYOTOKEA MISHENI YETU MAKAMBAKO
Tarehe 8 Februari nilikuwa safarini kuelekea Iringa ndipo nilipopitia makambako kuacha mzigi.
Kufika getini hakuna MTU anaruhusiwa kuingia ndani ya Parokia kwa sababu naambiwa yametokea mauaji parokiani, na paroko pamoja na viongozi walikuwa kituo cha polisi Kwa mahojiano...
Nikapewa taarifa za mauaji ya katibu kama mlivyosikia
Hadi sasa mshukiwa mkuu ambaye ni katekista ametoroka na hajapatikana.
Na polisi wanasema hâta hivyo wapo sehemu nzuri YA kumpata.
Watu hapa Makambako wameshtuka na kujawa butwaa na hofu na huzuni kubwa.
Kwa misheni zetu mauaji na ya kikatili Kama haya hatujapata kuna nayo. Huyu Katekista amekuwa ni kiongozi Wa miaka zaidi YA 20... point of reference YA watu wengi.
Mauaji haya YA kinyama si tuyamefanyika...yamefanyia kwenye eneo la kanisa, ofisi/duka la kanisa...mbaya Zaidi yamehusisha watu ambao ni viongozi.
Kwa maelezo YA paroko siku hiyo ilibidi katekista akabidhi mahesabu ili aweze hudumia duka hilo MTU mwingine full time.
Katibu ndo alikuwa anashughulikia huo mchakato Na siku hiyo ndo ilikuwa siku YA makabidhiano.
Jana jioni imefanyika misa nyumbani Kwa marehemu wakiwemo viongozi wote ngazi YA wilaya.
...............
Mwisho wa kunukuu andiko hilo.