Mfamasia wa Wilaya apewe majukumu ya kusimamia pharmacy kwenye eneo lake. Tuache kubandika vyeti vya wafamasia kwenye maduka, siyo cctv camera

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,885
Nataka kujua cheti cha mfamasia kinaruhusiwa kubandikwa kwenye pharmacy ngapi ndani ya wilaya anakoishi? Maana kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja basi haina maana kabisa. Kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja kwa maana ya kuzisimamia, kazi hii angepewa mfamasia wa wilaya kazi hii anaweza kuifanya kwa ufanisi zaidi.

Kubandika cheti dukani then unalipwa milioni moja daah. Hivi hii hela huwa inalipiwa kodi?
 
Nataka kujua cheti cha mfalmacia kinaruhusiwa kubandikwa kwenye pharmacy ngapi ndani ya wilaya anako ishi? Maana kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja basi haina maana kabisa.kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja kwa maana ya kuzisimamia,kazi hii angepewa mfalmacia wa wilaya kazi hii anaweza kuifanya kwa ufanisi zaidi.kubandika cheti dukani then unalipwa million moja daah.Hivi hii hela huwa inalipiwa kodi?
Huu ni wizi kama wizi mwingine
 
Jikite kwenye hoja !! I know what I am saying bother!!
Unaelewa chochote kuhusu business of pharmacy?

Certificate kukaa hapo iko kisheria kwenye pharmacy act sio kuwa wamejiamulia.

Na upo utaratibu wa kufanya supervision sio kwamba cheti kinakuwepo kama hewa , na ukiona mtu hafanyi monthly supervision basi tatizo lipo kwake.

Kwa nchi nilizowahi kuishi na hata nilipo pharmacist anapaswa kuwepo full time.
 
cheti chabandikwa kwa pharmacy kwa kati ya shilingi 700,ooo hadi 1,500,ooo kwa mwezi ili hali na yeye ni mwajiriwa tena wa serikali ama wa taasisi binafsi na hela hizo hazilipiwi kodi.

TRA piteni nao waingie kwenye mfumo kwa kodi manake fedha hiyo haikatwi kodiii
 
Wazo bora kabisa ... Ina bidi serikali iingilie kati isaidie hilo Baraza la Famasi ,,hizi Sheria za kubandika cheti zinawafavour bila kufanya kazi ya maana ... Mfamasia wa wilaya anatosha kusimamia famasi kwenye eneo lake ili hata mmiliki wa famasi ale vizuri jasho lake kwa haki halali.
 
Nataka kujua cheti cha mfamasia kinaruhusiwa kubandikwa kwenye pharmacy ngapi ndani ya wilaya anakoishi? Maana kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja basi haina maana kabisa. Kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja kwa maana ya kuzisimamia, kazi hii angepewa mfamasia wa wilaya kazi hii anaweza kuifanya kwa ufanisi zaidi.

Kubandika cheti dukani then unalipwa milioni moja daah. Hivi hii hela huwa inalipiwa kodi?
imagine, wanaruhusiwa kusimamia maduka matatu. na kila duka huwa tunawalipa milioni moja kwa mwezi, and still wanajifanya miunguwatu. hizi takataka zinaitwa mfamasia zinatesa sana nafsi za watu mtaani huko. kuna siku tutawataja majina na mali mnazomiliki hapa.
 
imagine, wanaruhusiwa kusimamia maduka matatu. na kila duka huwa tunawalipa milioni moja kwa mwezi, and still wanajifanya miunguwatu. hizi takataka zinaitwa mfamasia zinatesa sana nafsi za watu mtaani huko. kuna siku tutawataja majina na mali mnazomiliki hapa.
Acha kupotosha umma, ni pharmacy moja tu ambayo unaruhusiwa kusuperintend. Ambapo unatakiwa kuhudumia at least 15hours a week.
 
Nataka kujua cheti cha mfamasia kinaruhusiwa kubandikwa kwenye pharmacy ngapi ndani ya wilaya anakoishi? Maana kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja basi haina maana kabisa. Kama kinaweza kubandikwa ndani ya pharmacy zaidi ya moja kwa maana ya kuzisimamia, kazi hii angepewa mfamasia wa wilaya kazi hii anaweza kuifanya kwa ufanisi zaidi.

Kubandika cheti dukani then unalipwa milioni moja daah. Hivi hii hela huwa inalipiwa kodi?
Wacha roho mbaya na choyo na wewe nenda chuo ukasomee ufamasia na wewe upate hiyo milioni moja kama ni rahisi
 
imagine, wanaruhusiwa kusimamia maduka matatu. na kila duka huwa tunawalipa milioni moja kwa mwezi, and still wanajifanya miunguwatu. hizi takataka zinaitwa mfamasia zinatesa sana nafsi za watu mtaani huko. kuna siku tutawataja majina na mali mnazomiliki hapa.
SI KWELI.HUNA UNALOJUA.UNA EVIDENCE YA MFAMASIA ANAYESIMAMIA MADUKA 3 AU UNAJIONGELEA TU.
 
imagine, wanaruhusiwa kusimamia maduka matatu. na kila duka huwa tunawalipa milioni moja kwa mwezi, and still wanajifanya miunguwatu. hizi takataka zinaitwa mfamasia zinatesa sana nafsi za watu mtaani huko. kuna siku tutawataja majina na mali mnazomiliki hapa.
Fungua hospitali basi kama pharmacy unaona inakushinda
 
Back
Top Bottom