Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 249
- 711
Zamani ilikuwa kwaya za kiibada zinavutia na kusisimua lakini wamekuja vijana wa hovyo wanajiita walimu wa kwaya yaaji Wana edit kila kitu mwisho wa siku kwaya za ibada hazigusi mioyo na kusisimua, ilikuwa kawaida mwanakwaya wa Bukoba kuimba kwaya Mtwara bila shidaa yoyote ila sasa ni ngumu...
Yamebaki majimbo machache yaliyotunza kwaya halisi za ibada za kikatoliki, hapa nilipongeze Jimbo la Bukoba na majimbo karibu yote ya kagera.
USHAURI: Naishauri TEC kuhakikisha wanadhibiti kirusi cha uharibifu wa kwaya halisi za ibada za kikatoliki,siyo kila kitu kiwe cha kisasa hii itakuwa vurugu kanisani na kutukosesha Iadha tam na muruaaaa ya ukatoliki.
Sasa hivi hata mapadri wa kisasa hawana ladha kwenye kuimba injili mpaka mtu unahisi unapaa mbinguni.
Mapadri wa zamani walikuwa na vionjo bwana wawapo madhabahuni mpaka tukawa tunavutiwa kuwa mapadri
Yamebaki majimbo machache yaliyotunza kwaya halisi za ibada za kikatoliki, hapa nilipongeze Jimbo la Bukoba na majimbo karibu yote ya kagera.
USHAURI: Naishauri TEC kuhakikisha wanadhibiti kirusi cha uharibifu wa kwaya halisi za ibada za kikatoliki,siyo kila kitu kiwe cha kisasa hii itakuwa vurugu kanisani na kutukosesha Iadha tam na muruaaaa ya ukatoliki.
Sasa hivi hata mapadri wa kisasa hawana ladha kwenye kuimba injili mpaka mtu unahisi unapaa mbinguni.
Mapadri wa zamani walikuwa na vionjo bwana wawapo madhabahuni mpaka tukawa tunavutiwa kuwa mapadri