Hii reply imenifanya niwe mnyonge kwa huruma.Sawa, Kuna tatizo gani ktk hilo? Mkuu kwani nimekufanyia kibaya kipi, mbona sikuelewi?

Hapana, ahsanteMil 5 unachukua?
Nijibu hapahapa

Sawa, ahsanteImported from Mozambique

Nimehamua kumwacha.
Mie macho yangu yamevutiwa zaidi na nyumba.Imported from Japan
.
YOM: 2003
Capacity: 1.3L
Automatic
Petrol
97,000 Kms
.
Mimi niliyeanzisha uzi huu ndiye mmiliki halali na niko na documents zote. (SIO DALALI)
Location: DSM
.
Piga: 0717 650800
View attachment 2192817View attachment 2192818View attachment 2192820View attachment 2192821View attachment 2192823
Hahaha....sawa mkuuMie macho yangu yamevutiwa zaidi na nyumba.


Hii gari haijawahi kuwa registered Tz kabisa!? Au plate number imechomolewa kunogesha picha..