ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Habari za leo wadau kuna jambo mara nyingi nakutana nalo sijui kama wenzangu hili mmewahi kukutana nalo, kuna hizi form za matibabu NHIF unaenda hospitali unapata huduma kila gharama zinaandikwa kwenye form ukimaliza matibabu unaenda mapokezi kwa ajili ya kuchukua kadi yako ukifika pale inakupasa kusaini ile form ya gharama ulizotumia.
Ila sijawahi kuona ile form hesabu zimefungwa mara nyingi hesabu zinakuwa wazi, hii ni kwanini maana kuna uwezekano ikatokea hospital ambazo sio waaaminifu wakaongeza gharama ambazo hukutumia wewe, sasa sijui shida inakuwa wapi maana tunasaini hesabu ambayo haijakamilika kwanini hii NHIF waingalie kama ndio Sheria wabadili lazima mtu inasaini kitu halisi ulichotumia.
Ila sijawahi kuona ile form hesabu zimefungwa mara nyingi hesabu zinakuwa wazi, hii ni kwanini maana kuna uwezekano ikatokea hospital ambazo sio waaaminifu wakaongeza gharama ambazo hukutumia wewe, sasa sijui shida inakuwa wapi maana tunasaini hesabu ambayo haijakamilika kwanini hii NHIF waingalie kama ndio Sheria wabadili lazima mtu inasaini kitu halisi ulichotumia.