Recent content by Mama Lao

  1. M

    Chuo kipya cha NELSON MANDELA

    Prec condition ya chuo kijengwe wapi ilitolewa na Mandela mwenyewe kama wanataka kutumia jina lake. Alisuggest eneo ambalo the whole East Africa will be accessible to...
  2. M

    Rehema Mwakangale hayupo nasi

    RIP Rehema Poleni sana.
  3. M

    Hivi Rais wetu yuko Serious?

    ....talk of leadership styles... ....2010 mkipiga kura tumia akili yako na sio moyo wako...hapo tumeshashikwaa! next time "VOTE WISELY"
  4. M

    Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

    What? God forbid! Tunakuwa waoga tu kwanini hii kazi isitangazwe watu wapewe nafasi ya kusema watadeliver nini/interview/select then vetted. Kuna vijana wengi tu capable nchi hii. Do we have to recycle DGs? Au kuna watu wamezaliwa maalum kuwa DGs-na kuua mashirika? Hii style ya uongozi...
  5. M

    Ndoa zenye Utata..

    Usawa kwa wanawake Afrika bado sana..... Hiyo mizani kuna wakati italemea sana upande wa mama then itashindwa kuhimili...sasa inategemea ni kwa kiasi gani mwanamke anatambua uwezo wake. Kwamba na yeye ni "mtu sawa kwenye huo muungano". Wanawake huwa tunaachia mambo yanatutesa wee ukija...
  6. M

    Liyumba (wa BoT) na wenzake kizimbani Kisutu

    Hongera JK na wote waliofanikisha hili. Angalau sasa tunaona.....
  7. M

    DECI Tanzania: Ilivyoanza, ilipo na hatma yake

    Asante kwa hii topic ya DECI. -Wanatengenezaje faida kubwa kiasi hiki? -wamesajiliwa?
  8. M

    Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

    Hata mimi naungana na wewe Kuhani...nilitegemea Mengi atoe maelezo ya kueleweka. Waziri fulani bin fulani na awe na evidence. Nafikiri pia Mzee Mengi anapenda "sifa" kitu kidogo tu keshaweka "Press Release" anatoa vitamko tamko. Tumemsikia lakini hatujaelewa anasema nini ...........! Au saa...
  9. M

    Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

    Naona MAOMBI YA KULIOMBEA TAIFA YANAYOENDELEA JANGWANI YAMEANZA KUJIBU...... KaribunI
  10. M

    Kikwete Mbeya: Mgongano na wananchi na mwitikio wa serikali

    Kila siku nimekuwa nikijiuliza hasa kazi ya bwana Salva ni nini? and what is he trying to achieve? To my suprise kama Mkurugenzi wa Habari Ikulu bado anatumia address ya YAHOO...yuko serious ama?
  11. M

    Mlimani city waanza kubagua watanzania?

    Ush...usijali ilikuwa usiku kwa hiyo sikuweza kupata maelezo. Dereva wa bajaj wa kituo cha Mlimani city aliniahidi kwamba leo atafanya initiative ya kwenda kwenye vyombo vya habari na mimi nikaahidi kucreate awareness through JF. Of course kitakachofuata utakiona...huu ni mwanzo ....Ijumaa njema
  12. M

    Lowassa anasafishwa!

    Jamani msimkweze sana huyu Lowassa.... Hana chake tena...ndio ameshajimaliza mwenyewe. Isitoshe ametupotezea nafasi ya uwaziri mkuu kwa watu wa kaskazini. Kiongozi gani shupavu na hodari anayewaibia watu wake. Give me a break!
  13. M

    Mlimani city waanza kubagua watanzania?

    Shy mind your language kajifunze ku address watu properly....not starting with "wewe". Inawezekana hiyo ni opinion yako. Huu ni ubaguzi. Bajaj zilikuwa zina "drop" watu na kuondoka na parking za bajaj ziko nje ya eneo la Mlimani City. Kwa hiyo gaidi hawezi kupakia "benzi"?????? Nipe mfano...
  14. M

    Mlimani city waanza kubagua watanzania?

    Hayawi hayawi yamekuwa..........yale yaliyokuwa yakisemwa na Kina Mar. Prof Seth Chachage sasa yanaanza kujionyesha. Wageni wanaanza kuleta "ubaguzi wa kimatabaka" kwa watanzania. Jana nilishangaa pale mlinzi wa Mlimani City alipomwambia dereva wa bajaj kwa "Uongozi wa Mlimani City hauruhusu...
Back
Top Bottom