Chuo kipya cha NELSON MANDELA

One of the major functions of the cities is Education. Many big colleges are located in the cities. Together with agglomeration of economies if a university is located in a city it meets the needs of both students and staff very well: prominent professors will go there, good students will flock into it from both within and outside the country etc. Leave away politics if you really want to put up a good university. Why don't you ask for the decision makers to put up the university in Mtwara/Lindi/Songea? It does not mean that these places are ignored,rather development process is gradual. Develop the infrastructure first then put up colleges/universities otherwise we are just wasting time locating a university at a place where the infrastructure is so poor! Are we serious when we say we should build this university in Dodoma with the present infrastructure? I suggest this university to be built in DSM and it will be superb: many lecturers will flow in to teach,students' enrolment will surpass all other universities in the country. Put it in Dar and not Arusha to bring real competition to the UDSM.
hhmmm! wewe ni profesa au? Haya bwana, let's wait and see!
 
Tumefanikiwa kupata nafasi ili chuo hiki kiwe Tanzania. Lakini for some unknown reasons WATAWALA na washauri wao wameamua kiwe ARUSHA!

Swali kwa nini kisijengwe Pemba hiki chuo ?..if not KIGOMA for that matter?

All politics/ regionalism/ udini aside.

From a purely economic standpoint.


Pemba / Kigoma ziko geographically isolated na probably zinahitaji shule za msingi na sekondari zaidi kuliko vyuo vikuu.

Inabidi tujenge vyuo vikuu sehemu zenye watu wengi na zilizo accessible kwanza, halafu tuta decentralize. Huwezi kuacha sehemu kama Dar/ Mwanza/ Kilimanjaro Nyanda za juu kusini ziwe na haja kubwa ya vyuo vikuu ukaenda kujenga chuo kikuu Pemba. Labda kidogo Kigoma, lakini ukijenga Chuo Kikuu sehemu ambapo hamna sekondari za kutosha maana yake haujaweza ku plan effectively -unless you are investing for the very long term, which our country cannot afford to front as doing right now, simply because we dont know what will we have for dinner so to speak- kwa sababu sanasana utafanya watu wa mbali waje kusoma hapo, unaingia cost zaidi.

Hizi habari za kupeleka huduma sehemu ambazo hazina watu ndiyo zimefanya uwanja wa Gombani uwe gofu.Itakuwa hamna tofauti na mji wa Gbadolite pamoja na uwanja wake wa ndege, au kanisa la Houphoet Boigny huko Yamoussoukrou ambalo ni kubwa kuliko basilica la Rome lakini halina watu
 
All politics/ regionalism/ udini aside.

From a purely economic standpoint.


Pemba / Kigoma ziko geographically isolated na probably zinahitaji shule za msingi na sekondari zaidi kuliko vyuo vikuu.

Inabidi tujenge vyuo vikuu sehemu zenye watu wengi na zilizo accessible kwanza, halafu tuta decentralize. Huwezi kuacha sehemu kama Dar/ Mwanza/ Kilimanjaro Nyanda za juu kusini ziwe na haja kubwa ya vyuo vikuu ukaenda kujenga chuo kikuu Pemba. Labda kidogo Kigoma, lakini ukijenga Chuo Kikuu sehemu ambapo hamna sekondari za kutosha maana yake haujaweza ku plan effectively -unless you are investing for the very long term, which our country cannot afford to front as doing right now, simply because we dont know what will we have for dinner so to speak- kwa sababu sanasana utafanya watu wa mbali waje kusoma hapo, unaingia cost zaidi.

Hizi habari za kupeleka huduma sehemu ambazo hazina watu ndiyo zimefanya uwanja wa Gombani uwe gofu.Itakuwa hamna tofauti na mji wa Gbadolite pamoja na uwanja wake wa ndege, au kanisa la Houphoet Boigny huko Yamoussoukrou ambalo ni kubwa kuliko basilica la Rome lakini halina watu
...Si kweli kwamba sehem kuwepo Chuo KIKUU lazima sekondari nyingi ziwepo...?umepata hii fikra?...Kwani Chuo kinakuwa Mali ya watanzania wote...hivyo wanaosoma si wakazi tu wa sehem hio....

Vyuo vilivyopo maeneo ya sasa wengi si wakazi wa sehem husika...na Ndio maana tunapata matatizo pia ya "Accomodation"...Ingalikuwa wenyeji wengi wanasoma Vyuo husika tatizo la Hostels lingepungua kwa kiasi kikubwa sana!!!!
 
...Si kweli kwamba sehem kuwepo Chuo KIKUU lazima sekondari nyingi ziwepo...?umepata hii fikra?...Kwani Chuo kinakuwa Mali ya watanzania wote...hivyo wanaosoma si wakazi tu wa sehem hio....

Vyuo vilivyopo maeneo ya sasa wengi si wakazi wa sehem husika...na Ndio maana tunapata matatizo pia ya "Accomodation"...Ingalikuwa wenyeji wengi wanasoma Vyuo husika tatizo la Hostels lingepungua kwa kiasi kikubwa sana!!!!

my whole thing ni kwamba, sisi kama taifa masikini inabidi tujenge vyuo kiuchumi. Na unajengaje chuo kiuchumi? Unaangalia where is the most immediate demand in oreder to preserve sustainability.

Wewe unasema si kweli kwamba sehemu inayofaa kujengwa Chuo Kikuu iwe na sekondari nyingi, una disregard hierarchy ya decentralization.Kwamba unataka kujenga Chuo Kikuu, kwa mfano, mfano tu,Kibondo huko, kwenye shule za sekondari 4 na kati ya hizo zenye A Level mbili, wakati demand iko Kilimanjaro, Mbeya na Dar kwenye maelfu ya shule za sekondari, hatima yake itabidi watu wa Kilimanjaro, Dar na Mbeya watoke makwao huko kuingia katika ma treni, mabasi na mitumbwi kuja Kibondo kusoma.

Hizi infrastructure zetu zinavyotengenezwa inabidi tuwe makini sana kwa sababu kuna ma hidden costs kibao humu.Wenzetu wanapigia hesabucost ya traffic jams kwenye uchumi, kwamba Wamarekani kwa mwaka mmoja wanatumia so much billion manhour kwenye traffic jams, na hiyo inakuwa sawa na dollar billion ngapi katika uzalishaji.Sisi tunaona muda hauna thamani wakati ni moja kati ya vitu ambavyo huwezi kuvirudisha.

Kwa hiyo ninachosema ni kwamba, kabla hatujajenga Chuo Kikuu Pemba na Kigoma (by the way kujenga na decentralization ni lazima na haki ya wananchi wa huko) nataka kuona kwambakuna local demand kwanza, nataka kuona kuna shule za sekondari zenye A-Level za kutosha zitakazoweza kutoa wananfunzi wa kwenda kwenye hivi vyuo, sitaki kuona mwanafunzi anatoka Ruvuma analazimika kwenda kusoma Pemba au Kigoma eti kwa sababu tu ndiko chuo kiliko.Hizi ni characteristics za command economy inayofanya mambo kibabebabe tu bila kujali forces za market.Ikiwa mtu ataamua kwenda kusoma sehemu nyingine ya Tanzania -pengine kwa utashi wa kutaka kuijua nchi yake vizuri not unlike Chelsea Clinton alivyoamua kwenda Stanford kusoma undergraduate degree wakati wazazi wake wako DC na kwa baba yake ni Arkansas- that is fine, as long as huu ni utashi wa mtu binafsi tu mwenye uwezo huo na si kwa sababu hamna shule za karibu.

My point has to do with the whole point of gradual decentralization.Fine, tutajenga vyuo Pemba na Kigoma tukijaaliwa, lakini tujenge sensible demand basi, tujenge sekondari basi.Sio tunajenga our version of a bridge to nowhere.
 
Tumefanikiwa kupata nafasi ili chuo hiki kiwe Tanzania. Lakini for some unknown reasons WATAWALA na washauri wao wameamua kiwe ARUSHA!

Swali kwa nini kisijengwe Pemba hiki chuo ?..if not KIGOMA for that matter?
Hii habari mbona kama inaning'inia au mie ndio makengeza nini?Au ni mwendelezo fulani!Anybody help pleaseeeeeee!
 
One of the major functions of the cities is Education. Many big colleges are located in the cities. Together with agglomeration of economies if a university is located in a city it meets the needs of both students and staff very well: prominent professors will go there, good students will flock into it from both within and outside the country etc. Leave away politics if you really want to put up a good university. Why don't you ask for the decision makers to put up the university in Mtwara/Lindi/Songea? It does not mean that these places are ignored,rather development process is gradual. Develop the infrastructure first then put up colleges/universities otherwise we are just wasting time locating a university at a place where the infrastructure is so poor! Are we serious when we say we should build this university in Dodoma with the present infrastructure? I suggest this university to be built in DSM and it will be superb: many lecturers will flow in to teach,students' enrolment will surpass all other universities in the country. Put it in Dar and not Arusha to bring real competition to the UDSM.

Hivi Kibongoto, iliona wakati UDSM ikijengwa?? Hivi ni infrastructures gani zilikuwa pale?? Kweli watz ni wasahaulifu kupindukia.
 
One of the major functions of the cities is Education. Many big colleges are located in the cities. Together with agglomeration of economies if a university is located in a city it meets the needs of both students and staff very well: prominent professors will go there, good students will flock into it from both within and outside the country etc. Leave away politics if you really want to put up a good university. Why don't you ask for the decision makers to put up the university in Mtwara/Lindi/Songea? It does not mean that these places are ignored,rather development process is gradual. Develop the infrastructure first then put up colleges/universities otherwise we are just wasting time locating a university at a place where the infrastructure is so poor! Are we serious when we say we should build this university in Dodoma with the present infrastructure? I suggest this university to be built in DSM and it will be superb: many lecturers will flow in to teach,students' enrolment will surpass all other universities in the country. Put it in Dar and not Arusha to bring real competition to the UDSM.

Hivi Kibongoto, uliona wakati UDSM ikijengwa?? Hivi ni infrastructures gani zilikuwa pale?? Kweli watz ni wasahaulifu kupindukia.
 
One of the major functions of the cities is Education. Many big colleges are located in the cities. Together with agglomeration of economies if a university is located in a city it meets the needs of both students and staff very well: prominent professors will go there, good students will flock into it from both within and outside the country etc. Leave away politics if you really want to put up a good university. Why don't you ask for the decision makers to put up the university in Mtwara/Lindi/Songea? It does not mean that these places are ignored,rather development process is gradual. Develop the infrastructure first then put up colleges/universities otherwise we are just wasting time locating a university at a place where the infrastructure is so poor! Are we serious when we say we should build this university in Dodoma with the present infrastructure? I suggest this university to be built in DSM and it will be superb: many lecturers will flow in to teach,students' enrolment will surpass all other universities in the country. Put it in Dar and not Arusha to bring real competition to the UDSM.

Ahsante,

Mimi ndicho nachojaribu kuwaambia, huwezi kujenga chuo kikuu wakati huna A-Levels za kutosha, utafanya kazi ya ziada kuwasafirisha watu kutoka sehemu zenye A-Levels needlessly, mibarabara yenyewe hatuna, kuna issues za kuchoma mafuta, muda, ajali etc.

It is simply not economic.Kama unataka kujenga vyuo Tanzania nzima fine, lakini anzia chini basi, jenga shule za msingi nyingi sana sana, sekondari za o level nyingi sana na baada ya hapo gradually unajenga vyuo vikuu kadiri ya demand itakayokuwapo.

Ukitaka kujenga chuo kikuu bila kuangalia structure ya elimu ya chini yake either utarun risk ya kuwa na madarasa half full au itabidi uwarushe watoto wa form four waingie chuo kikuu.

Watu wanaweza kufaulu mbali huko wakakosa hata nauli ya kuja chuoni, unacheza na maisha ya bongo?
 
Jamani let's face it. Hiyo mnayoita miji ya kimataifa ina miundo mbinu iliyotegemea sana vile alivyoacha mkoloni.

Kama mkoloni asingeacha mitaani, DSM kusingekuwa na hata mmoja. Hivyo tutake tusitake tuache kufikia mambo ya short terms.
 
Jamani Watz..basi tuwe realists!

Kigoma au Pemba hakuna umeme wala usafiri wa uhakika!

Kweli utajenga Chuo Kikuu cha technology cha Mandela??????????

Je tumerogwa????
 
after the five pages nimeona kama bluray ana points!bravo bro,naomba nikazie tu:

1)ni wajibu wetu watanzania kuiendeleza kigoma na pemba ili zifikie level za kimatafaifa na hadhi ya kujengwa vyuo vikuu vya kimataifa.sio kweli kwamba tusubiri tu nafasi ije,arusha ichagulewe ndo sisi tuanze complaints zetu.mimi naamini kwamba miundo mbinu ikiboreshwa katika maeneo tajwa hapo juu INAWEZEKANA SANA!sasa internal policies zinapoprove failure katika hili la kuendereza SURBAB-AREAS,tusitegemee walio nje ya tz wakafanya hilo.

my take:for now,ARUSHA IS THE PLACE TO BE
 
typical...kila mmoja anajaribu kuvutia kwake lakini pia inaonyesha jinsi gani mnavyo wachukia Wapemba na baadhi ya comments zinaonyesha wazi Xenophobia zenu as if watu wa Pemba ni sub humans...kazi kweli kweli

sasa mbona hamuulizi itacost kiasi gani? ninavyojua mimi according to website ya waziri mkuu estimates za mwanzo zilikuwa more than 20 billion lakini kwa jinsi hali ilivyo inaonekana itakuwa ni more tha 30 billion project...niolipowatumia e-mail for clarification on this matter wakaamua kuondoa kabisa from PM's website

kazi kweli kweli
 
Na kwa nini kijengwe Pemba na si Kilimatinde? kila kitu Pemba , Pemba mbona wa Pemba mnapenda kulalamika kama wanawake siku zote? Pemba itajengwa na nyinyi wenyewe,

Heshima kitu cha bure mzeya..nakuomba uombe radhi!
 
Prec condition ya chuo kijengwe wapi ilitolewa na Mandela mwenyewe kama wanataka kutumia jina lake. Alisuggest eneo ambalo the whole East Africa will be accessible to...
 
Pamoja na kwamba tunabishana kijengwe wapi na uamuzi ulishafanyika tulitakiwa walao tuwe wazalendo kidogo katika hili. Kama Tanzania imechaguliwa kati ya nchi za Afrika Mashariki au nyinginezo, tungepongezana kwa hilo hata kama kingekuwa kinajengwa Pemba au Kigoma. Ninaamini hapa kwenye jamvi maoni yangekuwa tofauti kabisa kama Tanzania isingepata fursa ya kujengwa chuo hicho.
 
my whole thing ni kwamba, sisi kama taifa masikini inabidi tujenge vyuo kiuchumi. Na unajengaje chuo kiuchumi? Unaangalia where is the most immediate demand in oreder to preserve sustainability.

Wewe unasema si kweli kwamba sehemu inayofaa kujengwa Chuo Kikuu iwe na sekondari nyingi, una disregard hierarchy ya decentralization.Kwamba unataka kujenga Chuo Kikuu, kwa mfano, mfano tu,Kibondo huko, kwenye shule za sekondari 4 na kati ya hizo zenye A Level mbili, wakati demand iko Kilimanjaro, Mbeya na Dar kwenye maelfu ya shule za sekondari, hatima yake itabidi watu wa Kilimanjaro, Dar na Mbeya watoke makwao huko kuingia katika ma treni, mabasi na mitumbwi kuja Kibondo kusoma.

Hizi infrastructure zetu zinavyotengenezwa inabidi tuwe makini sana kwa sababu kuna ma hidden costs kibao humu.Wenzetu wanapigia hesabucost ya traffic jams kwenye uchumi, kwamba Wamarekani kwa mwaka mmoja wanatumia so much billion manhour kwenye traffic jams, na hiyo inakuwa sawa na dollar billion ngapi katika uzalishaji.Sisi tunaona muda hauna thamani wakati ni moja kati ya vitu ambavyo huwezi kuvirudisha.

Kwa hiyo ninachosema ni kwamba, kabla hatujajenga Chuo Kikuu Pemba na Kigoma (by the way kujenga na decentralization ni lazima na haki ya wananchi wa huko) nataka kuona kwambakuna local demand kwanza, nataka kuona kuna shule za sekondari zenye A-Level za kutosha zitakazoweza kutoa wananfunzi wa kwenda kwenye hivi vyuo, sitaki kuona mwanafunzi anatoka Ruvuma analazimika kwenda kusoma Pemba au Kigoma eti kwa sababu tu ndiko chuo kiliko.Hizi ni characteristics za command economy inayofanya mambo kibabebabe tu bila kujali forces za market.Ikiwa mtu ataamua kwenda kusoma sehemu nyingine ya Tanzania -pengine kwa utashi wa kutaka kuijua nchi yake vizuri not unlike Chelsea Clinton alivyoamua kwenda Stanford kusoma undergraduate degree wakati wazazi wake wako DC na kwa baba yake ni Arkansas- that is fine, as long as huu ni utashi wa mtu binafsi tu mwenye uwezo huo na si kwa sababu hamna shule za karibu.

My point has to do with the whole point of gradual decentralization.Fine, tutajenga vyuo Pemba na Kigoma tukijaaliwa, lakini tujenge sensible demand basi, tujenge sekondari basi.Sio tunajenga our version of a bridge to nowhere.
...Utetezi wako hauna mashiko kwa nchi yenye kujali wananchi wake...!!!

Leo hii watu wanasafiri kwenda Ulaya kusoma...Hivi unaweza linganisha gharama hizo na mtu akitoka Dar kwenda Kigoma?..usafiri Upo au wewe mwenzetu unataka usafiri gani...?

kwako wewe cost unaziona kwa wanafunzi watakaotoka mikoa ya kaskazini kwenda Kigoma....Vipi costs za wananchi wa Kigoma wanaokuja kusoma huko Kaskazini?....

kwangu naona bado una weaks points...!!!
 
...Utetezi wako hauna mashiko kwa nchi yenye kujali wananchi wake...!!!

Nchi yenye kujali wananchi wake inajua kufanya cost-benefit analysis na quantitative analysis.Inaonekana huja acknowledge hivi viwili na

Leo hii watu wanasafiri kwenda Ulaya kusoma...Hivi unaweza linganisha gharama hizo na mtu akitoka Dar kwenda Kigoma?..usafiri Upo au wewe mwenzetu unataka usafiri gani...?

Kwenda kusoma Ulaya kwa fedha za umma, unless kuna sababu maalum -vifaa hamna etc- ni ufujaji wa mali ya umma kwa nchi masikini kama Tanzania.Kama watu wanaenda kusoma vitu vinavyoweza kufundishwa Tanzania, nauli ya kumpeleka na kumrudisha mtu ulaya tu ni sawa na gharama ya kumsomesha mtu elimu ya juu Tanzania.Kama kweli tungekuwa tunafuata a strictly economic model, watu ambao wangeenda kusoma Ulaya wangekuwa wanaopata scholarships za nje na wale wanaojilipia tu, nchi yetu haiwezi kulipa gharama za standard ya kimataifa katika elimu, unless vitu vinavyofundishwa havipo kwetu, it is simply uneconomic.

kwako wewe cost unaziona kwa wanafunzi watakaotoka mikoa ya kaskazini kwenda Kigoma....Vipi costs za wananchi wa Kigoma wanaokuja kusoma huko Kaskazini?....

Nimeongelea kutoka an economic point of view, inayoongelea kuhusu demand/supply. Kama Pemba hakuna A- Levels za kutosha, na una wanafunzi wa kusoma Chuo 100, na chuo kina nafasi 1,000, itabidi uchukue wanafunzi wengine 900 kutoka Kilimanjaro kwa mfano uwasafirishe waende Pemba.

Katika nchi inayotakiwa kuhesabu kila senti yake, ni bora kujenga Chuo cha watu 1000 pale kwenye demand ya watu 900 halafu ukasafirisha wale 100 kutoka mbali, badala ya kujenga chuo kwenye demand ya watu 100 na kusafirisha wale 900 kutoka mbali.It is simple cost benefit maths.

Tatizo hatujawa na culture ya ku run vitu kiuchumi, na tunataka ku run vitu ki siasa.Pemba wanahitaji shule za sekondari zaidi kuliko Chuo kikuu.
 
Last edited:
Unapojenga chuo kikuu lazima pia ufikirie maswala kama:

Fieldwork sites: Lazima kuwe na maeneo ya karibu ambayo wanafunzi watapata masomo ya vitendo kwa cost ndogo hasa ya muda wa kusafiri na pesa.

Mazingira ya watumishi: Kumbuka kuwa wafanya kazi wa vyuo vikuu, hasa rank za juu kama academicians, administrators na wahasibu wana qualification za juu sana na wanaweza kufanya kazi popote pale duniani. Sasa kama walimu wa primary tu wanagoma kwenda Mtwara ukiweka chuo kikuu utapata hawa PhD holders? zaidi utaishia wale wasio-competitive.
 
Bluray,

..watetezi wa hoja kwamba chuo hicho kijengwe ktk mikoa ya pembezoni wanaamini kwamba kitatoa fursa za kiuchumi kwa wananchi wa maeneo hayo.

..vilevile wanaamini kwamba kujengwa kwa chuo ktk maeneo hayo kutalazimisha kujengwa kwa supporting infrastructures kama hospitali,shule,barabara,uwanja wa ndege etc.

..wengine pia wanaamini wananchi wa sehemu hizo ambazo tunasema "zimesahauliwa" watajisikia "vizuri" and part of a "larger Tanzanian-family" kwa mradi kama huo kupelekwa karibu na maeneo yao. wanadai hii itajenga umoja wa kitaifa.

..nakubaliana na approach yako kuhusu suala hili, but sometimes it is hard not to empathise na wananchi wa hii mikoa ya pembezoni.

..wasiwasi wangu ni kwamba unaweza kujenga chuo hicho huko pembezoni halafu wananchi wa maeneo ya karibu wakabaki kuwa watazamaji tu wakati wanaosoma hapo ni vijana toka maeneo ya mbali.

NB:

..leo hii ukiwapa wananchi wa Kigoma/Lindi/Mtwara/Tabora hayo mabilioni yaliyopangwa kujenga chuo cha Mandela watumie kwa ajili ya elimu, je watatumia pesa hizo kujenga shule za sekondari kadhaa au kujenga chuo kikuu kimoja?
 
Back
Top Bottom